Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wana JF naomba msaada wenu, Nimekuwa muoga sana katika kuchukua maamuzi ya kufanya biashara Hali hii inaweza kutatuliwa na nini.? Nawasilisha hoja
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hbr wana jamii forums natafuta dslr camera aina ya canon 1100 au nikon D3100 budjet yangu tsh 500000
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Wapendwa nataka kufanya biashara ya mafuta ya alizeti,naomben kujua upatikanaji wake nina mtaji wa mil 2 je unaweza tosha??nipo arusha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Welcome to A1 Truck Exporter Ltd One of the most experienced Exporters of Used and New Trucks ie Tractor Units Rigids and Tipper Trucks Vans & Cars,Trailers,Plant Equipment,Tractors from the...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Nataka kupeleka material ya pp na pet Naona wachina wanaitana tu na kujazana kwetu wakati nasi tunaweza kufanya na tuna uzoefu wa kutosha kupata malighafi.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
10 acres; Bei: $ 350,000 Simu: 0787 528745 Umeme, kisima, mabanda matatu na kila banda linabeba kuku 12,000; godown, kinu cha kutengeneza chakula cha kuku,mashine ya kunyonyoa kuku, cold room...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa anaejua biashara ya Suzuki carry naomba hints kidogo kwenye changamoto (challenges) , faida, carry aina gani ni nzuri na management yake Kwa ujumla ..... ...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
JF Support Team Naomba kutoa pendekezo la kuwepo kwa KILIMO NA UFUGAJI FORUM ndani ya JF kama zilivyotengwa forum za Business & Economic, Jukwaa la Siasa n.k. Kwa sasa naona mada nyingi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
General Agro and livestock enterprise tupo mkoa wa mbeya, mbalizi kata ya nsalala. Tunatotolesha mayai ya Kuku, kware na ndege wengineo wanaofugwa. Tuna incubator za kisasa. Wasiliana nasi kupitia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
coolmate group of companies (t) ltd tunatoa mafunzo ya ujasiriamali kwa nadharia na vitendo, tumebobea katika kufundisha namna ya kutengeneza batiki (vikoi), sabuni ya maji, dawa za vyoo, sabuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JamiiForums, Naomba msaada wenu kujua ni ipi business management software nzuri kuliko zote ilitotengenezwa hapa kwetu Bongo, naihitaji kwa matumizi ya supermarket na fast food business...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanajanvi! Nipo katika mchakato wa kufanya biashara ndogo ndogo kwa lengo la kukuza kipato changu apart from kimshahara hiki cha mawazo! Katika kubangua bongo nifanye aina gani ya biashara...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Mayai ya kware ambayo ni mazuri kwa afya yako na familia yako hasa katika kuongeza kinga za mwili na kwa makuzi ya watoto sana yanapatikana ukihitaji kujua zaidi faida zake unaweza kutembelea
0 Reactions
86 Replies
17K Views
Nauza bata mzinga, more info nicheki whtsap kwa 0659606000
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni kwa mara ya kwanza kufuga kuku wa broiler, wana wiki 3 sasa, ila kuna baadhi wanakuwa kama miguu inashindwa kusimama, wanakosa nguvu, na mda mwingine kutetemeka kwa mbali...nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimejikongoja kutoka uzalishaji wa 1000/=-3000000/=naomba mnipe ushauri nifanye biashara gani? niko mwanza.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Waungwana, Mimi ni mlemavu wa miguu uliotokana na kuumia vibaya mgongo, natumia Wheelchair na ninaishi uswahilini maeneo ya ndani ndani, Natamani kufanya biashara yenye faida na isiyoitaji mtaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomben msaada wenu namna ya kuanzisha fast food,vitu vinavyohitajika na changamoto zake,.nahitaj mawazo yenu plz..,nitangulize shukrani....
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Hbr!natafuta mwny kujishughulisha na biashara ya baking esp cakes ili anisaidie kuongeza taaluma ktk hilo hata kwa malipo.Ani-pm au # yangu 0652-753759.Pls help
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama unahitaji kujiajiri katika nyanja za mambo ya designing na printing unaweza kunitafuta kwa namba 0718 572 422 au 0754 570 510 ninatoa mafunzo kwa program za adobe photo shop, adobe indesign...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…