Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wakuu Hongereni kwa kazi za ujenzi wa Taifa. Niende kwenye mada Moja kati ya changamoto zinazowakumba wamiliki wa mashamba ni wizi wa mazao mashambani. Changamoto hii huwakumba zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Habari za asubuhi. Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula...
54 Reactions
368 Replies
103K Views
Wiki hii kuna vibaka wameiba sana ng'ombe na mbuzi nahisi mambo ya sikukuu, hebu tushauriane ni njia zipi unaweza kutumia kudhibiti wizi mabandani, na kama una experience yoyote pls iweke...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Wakuu habari, Alhamisi niliuliza mwenye ujuzi wa water pump maana pump yangu ya kuvuta maji imekatika kifaa cha kupokea mafuta kutoka kwenye tank kwenda kwenye engine sasa naomba mwenye ujuzi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wapendwa? Ng'ombe wangu ameanguka toka juzi na hawezi kusimama. Ingawa anakula na anajaribu kusimama muda mwingine. Dkt. amejaribu kumwekea dripu jana ila mpaka muda huu hajaweza kusimama...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Haya ni baadhi ya mambo muhimu sana kufanya kuanzia siku ya kwanza ili vifaranga wako wasipate madhara na hatimaye kufa. i) Mara baada ya kuanguliwa, vifaranga wawekwe sehemu yenye joto kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ullega mara...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kama kuna thread hapa zinahusu mazao hayo naomba kupewa link. Kama hakuna basi naomba anaejua kuhusu hayo mazao anisaidie all the infos ------------ link za kilimo cha uyoga Kilimo, soko na...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
KUCHAGUA ENEO Katika uchaguzi wa eneo kwa ajili ya bustani zingatia yafuatayo: Mwinuko Eneo lisiwe kwenye mwinuko mkali kwa sababu sehemu kama hizo zinaweza kusababisha mmomonyoko wa udongo...
18 Reactions
49 Replies
60K Views
Utangulizi EM.1®️ ni teknolojia iliyogunduliwa nchini Japan miaka ya 80. Imesajiliwa Tanzania na Kampuni ya Feedpro EMAx Limited mwaka 2018. EM ni kifupisho cha Effective microorganisms ambao ni...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga...
4 Reactions
143 Replies
100K Views
Wakuu, baada ya kupata breakdown ya kilimo bora cha mahindi, steps, mbegu, mbolea, uhifadhi na kadhalika Hatua ya pili naomba wadau mnipe timing za kucheza na misimu kwa upande wa masoko. Yaani...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau Wasalam. Nimeambiwa na Rafiki yangu kuwa Mkoani Morogogoro wapo samaki wakubwa sana kuliko wale wa Ziwa Victoria! Akadai kuwa Samaki hao wanasifa zifuatazo: (1) Wakubwa sana kuliko Sato na...
2 Reactions
104 Replies
17K Views
Wakuu habari za maisha na mapambano ya maisha kwa ujumla? Poleni kwa Corona na uhaba wa sukari. Msaada kwa yeyote mtaalamu wa kilimo hasa cha green house na hiki kilimo cha kisasa cha hydroponic...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu, Naomba ushauri juu ya kilimo cha chinese. Nimeaza na matuta machache ila nina plan ya kujiongeza nifikie kulima at least nusu mpk eka moja ya chinese tu. Wasiwasi wangu ni...
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Nahitaji kusafirisha machinery equipment kutoka USA kwenda Tanzania, kuna mtu ambaye ameshawahi kutumia usafiri wa majini kutuma vitu bongo? Ni kampuni ipi wanashiping conterner?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu zangu, Mimi ninaishi Kisarawe Pwani nimejiajiri kwa sasa lakini pia nimeajiri vijana wenzangu 8. Sasa ukitoa mambo mengine kuna sehemu nachimbia 10, 000 kila siku kwa madhumuni ya kuwa...
2 Reactions
47 Replies
11K Views
Wasalamu Wanajukwaa Tuache propaganda corona inauwa tujilinde Kama kichwa kinavyosema. Nahitaji mahindi kwa gunia moja 30000-45000 mkoa kati ya Kilimanjaro au Arusha.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habair ndugu jamaa na marafiki kijana mwezenu nipo mbele yenu nina shida kubwa sana inanitatiza mimi ninaishi Dar nataka kulima kilimo cha mbogamboga na matunda changamoto ni pots au vikopo vya...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…