The Insider | May 28, 2016
Former External Security Organisation director General David Pulkol says President Yoweri Museveni now runs on “matters of the stomach”.
Pulkol who was speaking on the...
BREAKING: High Court in Kampala has found Ugandan Issa Ahmed Luyima, the 'mastermind and central character' of the deadly twin 2010 blasts in the Ugandan capital, guilty of terrorism!
Justice...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni, amempandisha cheo mwanaye na kufikia ngazi ya Meja Jenerali.
Muhoozi Kainerugaba anatambulika kama mtu mwenye nguvu sana katika jeshi la nchi hiyo na wengi...
On May11, 2016 Kizza Besigye and the whole FDC party claimed that he was sworn in as the president of Uganda, shortly before he was arrested. This was something interesting and challenging to...
By Our Reporter
Posted on May 16, 2016
Police deployed on streets
Security in Moroto town has been tightened as Uganda’s main opposition leader Kizza Besigye spends third night in prison.
Dr...
By: Sam Waswa
May 14,2016
One prisoner was reportedly killed last night in a fight that ensued in a Moroto Government Prison cell where Forum for Democratic Change former Presidential...
Kuna baadhi ya Marais wetu wa nchi za kiafrika wakikaa sana madarakani wanakosa uoga dhidi ya ukoloni mamboleo wa Wazungu, wanawapiga kwa maneno magumu laivu bila chenga mfano...
Aliyekua mgombea urais kwa chama cha upinzani Uganda, amefunguliwa mashtaka ya uhaini, hii ni baada ya video inayomwonyesha akiapa kiapo cha urais ambayo inazunguka kwenye mitandao ya kijamii...
According to sources in Moroto, Besigye appeared before Chief Magistrate Charles Yeteise, at about 6.30pm and the proceedings lasted a few minutes. Details about the charges were still scanty as...
Kanali (Mstaafu). Dr. Kizza Besigye. Aliyekuwa mpinzani mkuu wa Yoweri Museveni amejiapisha kuwa Rais wa Uganda. Ameapishwa na Jaji wa Mahakama Kuu.
A Ugandan judge has presided over the...
Ni ahadi aliyotoa baada ya kuapishwa leo!
Cha kushangaza amekuwa raisi wa uganda kwa miaka 30, leo ndio anaaminisha wananchi wake kuwa atapambana na ufisadi katika miaka hii mitano!
Lets wait...
Fourteen Heads of State are expected to attend the swearing in of Uganda’s President- Elect Yoweri Kaguta Museveni at the Kololo ceremonial grounds on Thursday.
Museveni was on February 20...
Wajumbe wa Marekani, Canada na ulaya walitoka kwenye sherehe za kuapishwa Rais wa Uganda zilizofanyika Alhamis katika kujibu kuwepo mshukiwa wa shutuma za uhalifu wa vita na matamshi ya Rais...
Najiuliza nashindwa kupata majibu kwamba ilisemekana kuwa Kizze Besigye alikuwa kizuizini mara ameapishwa jana alitokaje chini ya ulinzi mpaka kwenda kuapishwa?
Na aliapishwa na nani?
Habari wanaJamiiForums,
Wakati raisi mteule wa Uganda Yoweri Museveni akitarajiwa kuapishwa hapo kesho, mamlaka ya mawasiliano nchini Uganda Uganda Communication Commission (UCC) tangazo la...
The Uganda Scheme was a plan in the early 1900s to give a portion of British East Africa to the Jewish people as a homeland. It drew support from Theodore Herzl, a prominent Zionist, as a...
Serikali ya Uganda inahitaji fedha za haraka shilingi Billioni 2.6 kwa ajili ya kuongeza ofisi za wabunge 120 ambao wamekosa sehemu za kufanyia kazi kutokana na ongezeko la idadi ya wabunge ,hivyo...
Wakati mashine ya kutibu cancer kwa njia ya mionzi ikiwa imeharibika kwenye hospitali kuu nchini Uganda na kusababisha wagonjwa zaidi ya mia mbili kukosa tiba kila mwezi, Museveni ametumia...
Wanajamvi,
Kuna habari sina hakika eti ya kuwa majengo Chuo Kikuu cha Makerere yameanguka!
Je, kuna ukweli wowote?
===============
3 confirmed dead in Makerere building collapse
Police has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.