Kampala, Uganda: Wakamatwa kwa kuweka dawa ya kuhifadhia maiti kwenye nyama na samaki na panadol kuivisha maharage

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,820
Ndugu zangu,

Jana niliangalia taarifa ya habari ya usiku kwenye moja ya tv zetu. Ikaja habari kutoka Kampala, kwamba watu wamekamatwa kwa kunyunyuzia dawa za kuhifadhi maiti kwenye nyama na samaki ili zikae muda mrefu.

Wakati ubongo wangu ukitafakari kuwa nikiwa Kampala ni bora kula maharage taarifa ikaendelea kusema kuwa wengine wamekamatwa kwa kutumia panadol kuivisha maharage.

Baada ya habari kuhitimishwa mtangazaji anatamka; " Ni habari ya kusisimua hiyo!"

Mimi nilidhani ni habari ya kushtusha na kuogopesha sana. Je, wewe unasemaje?
 
Ndugu zangu, Jana niliangalia taarifa ya habari ya usiku kwenye moja ya tv zetu. Ikaja habari kutoka Kampala, kwamba watu wamekamatwa kwa kunyunyuzia dawa za kuhifadhi maiti kwenye nyama na samaki ili zikae muda mrefu. Wakati ubongo wangu ukitafakari kuwa nikiwa Kampala ni bora kula maharage taarifa ikaendelea kusema kuwa wengine wamekamatwa kwa kutumia panadol kuivisha maharage! Baada ya habari kuhitimishwa mtangazaji anatamka; " Ni habari ya kusisimua hiyo!" Mimi nilidhani ni habari ya kushtusha na kuogopesha sana. Je, wewe unasemaje?
Nasema hiviiii
Kwa sababu wote tutakufa ni bora tuwatafune hao samaki kwani siku tukifa hakuna haja tena ya kuwekewa hayo madawa. Unakuwanayo mwilini.
 
Ndugu zangu, Jana niliangalia taarifa ya habari ya usiku kwenye moja ya tv zetu. Ikaja habari kutoka Kampala, kwamba watu wamekamatwa kwa kunyunyuzia dawa za kuhifadhi maiti kwenye nyama na samaki ili zikae muda mrefu. Wakati ubongo wangu ukitafakari kuwa nikiwa Kampala ni bora kula maharage taarifa ikaendelea kusema kuwa wengine wamekamatwa kwa kutumia panadol kuivisha maharage! Baada ya habari kuhitimishwa mtangazaji anatamka; " Ni habari ya kusisimua hiyo!" Mimi nilidhani ni habari ya kushtusha na kuogopesha sana. Je, wewe unasemaje?
Maharage ya panado ukila sahau kuugua kichwa, na samaki na nyama za kutunza maiti unajitreat mapema kabisa ukifa unakaa ata miaka 2 ndiyo unazimwa shida iko wapi??? Mpaka ikushutushe/kukusisimua??
 
Nasikia hata matunda ya apples yanachomwa hizo dawa za maiti ili yakae muda mrefu bila kuharibika.
 
Nikienda bucha bila kuona NZI hata mmoja hapa ukanda wa tropics najua bucha limewekewa dawa flaniflani
 
Mbona hili Bongo pia liliwahi kutangazwa hili la kuzuia samaki wasiharibike linafanywa? Nadhani habari hiyo imo humu.

Ndugu zangu, Jana niliangalia taarifa ya habari ya usiku kwenye moja ya tv zetu. Ikaja habari kutoka Kampala, kwamba watu wamekamatwa kwa kunyunyuzia dawa za kuhifadhi maiti kwenye nyama na samaki ili zikae muda mrefu. Wakati ubongo wangu ukitafakari kuwa nikiwa Kampala ni bora kula maharage taarifa ikaendelea kusema kuwa wengine wamekamatwa kwa kutumia panadol kuivisha maharage! Baada ya habari kuhitimishwa mtangazaji anatamka; " Ni habari ya kusisimua hiyo!" Mimi nilidhani ni habari ya kushtusha na kuogopesha sana. Je, wewe unasemaje?
 
Watu wanaleta utani kwenye tatizo wee unaangalia faidatu jiulize kwanza kabla hijafa utakuaje kama SIO kukauka, maana kama umekufa sawa hiyo inakufanya ukae mda mrefu bila kuoza au kiharibika hapo tafsiri yake mwili unakaushwa kwa dawa sasa ukitumia dawa hiyo ukiwa mzima siunakauka hali ya kuwa hujafa?
 
Maharage ya panado ukila sahau kuugua kichwa, na samaki na nyama za kutunza maiti unajitreat mapema kabisa ukifa unakaa ata miaka 2 ndiyo unazimwa shida iko wapi??? Mpaka ikushutushe/kukusisimua??
Duh...hii kweli JF
 
Back
Top Bottom