Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

On JF:

Sio kila amri mnatakiwa kuitekeleza. Maisha yana leo na kesho. Acheni kutumiwa na wanasiasa.
0 Reactions
3 Replies
908 Views
Tanzania tunatumia lugha na msamiati wa neno "mabeberu" huko Uganda nako m7 kaja na mapya na yeye kaja na msamiati wa neno "mashoga" kwamba ndo wanafadhili upinzani pamoja na vikundi vya nje...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ashutumu vikali wanasiasa wanovunja masharti ya kudhibiti virusi vya corona wakati huu wa kampeni za uchaguzi wa rais. Kauli hiyo imetolewa na mgombea huyo wa urais...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Polisi nchini Uganda wamesema kwamba watu 16 wamefariki na 65 kujeruhiwa kufuatia vurugu zilizotokea baada ya kukamatwa kwa mgombea wa urais Robert Kyagulanyi maarufu Bobi wine. Msemaji wa polisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Polisi nchini humo wamesema idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maandamano yaliyoibuka baada ya kukamatwa kwa Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) imefikia saba. Msemaji wa Polisi, Fred Enanga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa nchi hiyo, Mugisha Muntu amesitisha kufanya kampeni zake mpaka Wapinzani wengine waliokamatwa jana watakapoachiwa Muntu ametaka Mamlaka kuwaachia huru Robert Kyagulanyi almaarufu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mabibi na mabwana pamoja na yetu machungu, hebu na tuyaone ya wenzetu katika zile chaguzi za ghiliba ambazo labda ni bora tu zisingekuwapo. Bobi Wine aka Robert Kyagulanyi (mmoja wa candidates...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amekamatwa leo asubuhi katika Wilaya ya Luuka ambapo alipanga kufanya mkutano ili azungumze na wafuasi wake Polisi wanamtuhumu Mgombea huyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Gazeti la Daily Monitor la Uganda linaripoti kuwa daftari la kitaifa la wapiga kura limepelekwa Uholanzi kwa ajili ya kuhakikiwa. Tume ya uchaguzi imeipa zabuni kampuni ya Uholanzi kuondoa majina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao 2021. Marufuku hiyo imetolewa siku moja baada ya rais Yoweri Museveni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waangalizi wa Uchaguzi wa ndani wameitaka Tume ya Uchaguzi Nchini humo (EC) kupinga shinikizo lolote la kuchapa karatasi za kura za Uchaguzi ujao wa 2021 ndani ya nchi kwa kuhofia kuharibu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zaidi ya wafuasi 130 wa chama cha NUP kinachongozwa na mwanasiasa wa Uganda Robert Kyagulanyi watafikishwa katika Mahakama ya Jeshi kujibu mashtaka ya kupatikana na vitu vinavyodaiwa kuwa sare za...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
BREAKING! Bobi Wine violently arrested after nomination Bobi Wine being driven to unknown location (PHOTO/Courtesy). KAMPALA — National Unity Platform President and flag bearer Robert...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Uganda’s electoral body cleared President Yoweri Museveni to seek re-election, paving the way for one of Africa’s longest-serving leaders to extend his more than three-decade rule. Museveni, 76...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mamlaka nchini UgaDna imepiga marufuku miungano ya zaidi mashirIka 60 iliyobuniwa kuchunguza uchaguzi mkuu wa mwaka 2021 kwa misingi kwamba sio halali. Ofisi ya Kitaifa ya Uganda ya Mashirika...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Business between South Sudan and other east African countries downstream is expected to become much easier when Uganda completes construction of a modern logistics hub just closer to the border...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Am not aiming to intimidate or do have hidden intension behind this post. However, I felt the need to question why Ugandans page is so damn boring. Please, if you don't mind, be active. Thanks
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maafisa polisi katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda, leo wamewakamata wasafiri 23 waliowasili katika uwanja huo wakiwa na vyeti bandia vinavyoonesha kwamba hawana maambukizi ya virusi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanasiasa na mwanamuziki wa Uganda, Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi Wine, ameiambia BBC kuwa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uteuzi wake wa kugombea urais zimepotea katika ofisi yake baada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Churchill Owaci(22) ameuawa na wachezaji wenzake kwa kufanya makosa yaliyopelekea kufungwa goli kati mechi ya kirafiki baina ya timu mbili za mtaani Mwenyekiti wa Kaunti ndogo ya Agoro, Denis...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom