Wananchi nchini #Uganda wameonekana kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya #COVID19 ambapo wengi wamelalamika kutopatiwa chanjo kwa wakati
Ongezeko la wanaohitaji chanjo limetokana na ongezeko la...
Polisi wa Uganda wameshtumiwa kwa ukatiliImage caption: Polisi wa Uganda wameshtumiwa kwa ukatili.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameshutumu kile alichokitaja kuwa utovu wa nidhamu unaotekelezwa...
KAMPALA, Uganda -- At a COVID-19 vaccination site in the Ugandan capital, Kampala, tempers flared among those waiting for scarce AstraZeneca jabs, with some accusing others of trying to jump the...
Passenger train services in Uganda's capital Kampala have resumed after the country lifted a 42-day lockdown on July 30 following a reduction in the Covid-19 infection rate.
Deo Kyomya, the...
Turkey-based Ugandan blogger and government critic, Mr Fred Lumbuye is being investigated on 15 different case files by Ugandan authorities following his arrest in Turkey last week, police have...
The government has announced that Covid-19 vaccination will resume today and that medical students will be prioritised in this third rollout of vaccines to allow for the reopening of medical...
Ugandan opposition, activists denounce digital car tracker plan
THURSDAY JULY 29 2021
Uganda's President Yoweri Museveni arrives at the UK-Africa Investment Summit in London, Britain January 20...
Wananchi wa Uganda wameonesha kukasirishwa na hatua ya serikali ya nchi hiyo kutoa zaidi ya dola milioni 30 za Marekani (sawa na zaidi ya Tsh bilioni 69.5) fedha za kununua magari ya wabunge...
Uganda imethibitisha kuwa watu zaidi ya 800 walichomwa maji badala ya chanjo ya #COVID19
Watu hao wamechomwa kati ya Mei 15 hadi Juni 17. Wataalamu wamesema hawako katika hatari kwa kuwa ni maji...
Mamlaka za nchini Uganda zimesema zaidi ya watu 800 na wateja wa idadi siyojulikana kutoka kampuni kadhaa katika jiji la Kampala walipokea chanjo feki za ugonjwa wa Covid-19.
Ripoti hiyo...
Polisi wamezuia watu kugawa chakula kwa wasiojiweza kipindi hiki cha ‘Lockdown’ kwa kuwa wanakiuka miongozo ya Afya ya Kudhibiti maambukizi ya #COVID19
Wanaotaka kugawa chakula wametakiwa...
Polisi nchini Uganda inawashikilia wahudumu wawili wa afya kwa madai ya kuhusika kuwachoma takriban watu 800 chanjo feki za corona mwezi uliopita.
Mtu mmoja, ambaye ni daktari, anatafutwa na...
Serikali ya Uganda imeunda tume yenye wajumbe 9 itakayozuia kusambazwa na kutumiwa kwa picha, video na vitu vingine vinavyochochea ngono.
========
Uganda's Ethics minister Simon Lokodo. The...
Mamalaka zimeripoti watu 73 kuuawa katika wiki moja iliyopita kutokana na magomvi ya nyumbani na kupungua kwa doria na kuvurugwa kwa watu kutokana na ‘lockdown’ kuongezwa kwa siku 42
Wengi huuawa...
Mkazi wa Kalaki katika kaunti ya Ogwolo nchini Uganda amemnyonga mtoto wake wa miezi 9 baada ya kutopokea hela za serikali wanazopewa watu wasiojiweza kipindi hiki cha COVID19.
Mkuu wa Wilaya ya...
Hii ni baada ya Rais Museveni, kuwaelekeza maafisa wa usalama kufanya uchunguzi wa haraka na kuwakamata waliokuwa wanasambaza habari feki kuwa amekufa
Msemaji wa Idara ya Upelelezi nchini humo...
Rais Yoweri Museveni ameagiza vikosi vya usalama kuwatafuta kwa haraka watu walioneza habari za uongo za kifo chake.Rais Museveni aliyasema haya katika sherehe ya kuapishwa kwa wabunge katika...
Police nchini uganda wamesema katika uchunguzi wao kifo cha Ziggy Wyne kimesababishwa na ajali ya pikipiki yake aliyo kuwa akiendesha mwenyewe sasa,ww tizama kwa makini picha zote za pikipiki...
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ameviagiza vyombo vya ulinzi kutafuta chanzo cha kusambaa kwa taarifa zenye uzushi kuwa amefariki, na amesema atashughulika na waliohusika.
Museveni amesema akiwa...
Mamlaka ya Dawa ya Uganda(NDA) imethibitisha matumizi ya COVIDEX kama dawa ya asili ya kupambana na maambukizi a #COVID19
Mkurugenzi Mtendaji wa NDA amesema dawa hiyo sio tiba ya COVID-19 bali...