Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Hii ni baada ya Rais Museveni, kuwaelekeza maafisa wa usalama kufanya uchunguzi wa haraka na kuwakamata waliokuwa wanasambaza habari feki kuwa amekufa
Msemaji wa Idara ya Upelelezi nchini humo Charles Twiine, alisema mshukiwa aliyetambuliwa kama Jamilu Ssekyondwa atashtakiwa baada ya kupatwa na ushahidi
Uvumi huo ulisambaa sana kama moto kwenye mitandao ya kijamii licha ya kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 76, kuonekana hadharani usiku wa Juni 26
Chanzo: Tuko
Msemaji wa Idara ya Upelelezi nchini humo Charles Twiine, alisema mshukiwa aliyetambuliwa kama Jamilu Ssekyondwa atashtakiwa baada ya kupatwa na ushahidi
Uvumi huo ulisambaa sana kama moto kwenye mitandao ya kijamii licha ya kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 76, kuonekana hadharani usiku wa Juni 26
Chanzo: Tuko