Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wasalaam wana tech, Kama tunavyojua uelewa wa computer bado sio mkubwa sana kwa watumiaji wengi wa kawaida, mambo ya virus & malware hayatiliwi mkazo sana na watumiaji, mtumiaji anachojali...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
๐—ก๐—ผ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐Ÿฏ๐Ÿฎ๐Ÿญ๐Ÿฌ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฟ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฐ ๐—ท๐—ฒ ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—ป๐˜‚๐—ป๐˜‚๐—ฎ ?? Unakumbuka Ile simu original ya Nokia 3210 iliyoachiwa mwaka 1999. Hatimaye imerudi Tena kwa mara nyingine mwaka 2024. Simu hii...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi- 1-create users with different roles and permissions 2-add stock 3-sell stock 4-truck proft and usage 5-view and export...
3 Reactions
10 Replies
625 Views
5G Technology: Teknolojia ya 5G ni kizazi cha tano cha teknolojia ya mawasiliano ya simu, ikiahidi kuleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya simu na huduma za data. Kabla ya 5G, teknolojia za...
5 Reactions
2 Replies
644 Views
Kununua kompyuta iwe laptop au desktop huwachanganya watu wengi hasa wasiokuwa na uzoefu wa vifaa hivi maana ukifika dukani utakuta za kila namna na miundo tofauti, nimeona niandike makala hii...
77 Reactions
162 Replies
49K Views
MKBHD kila siku ziendazo mbele anazidi kuyatimba. Juzi alikua ana review camera ya DJI Action 5 Pro akaonekana anaendesha Porsche zaidi ya 90 mph kwenye kibao cha School zone 35mph. Mashabiki...
3 Reactions
6 Replies
564 Views
Baada ya usalama wa taifa Canada kuifanyia tathmini App ya TikTok inayomilikiwa na kampuni ya kichina ya ByteDance wameiamuru kampuni hiyo kufunga ofisi zake Canada mara moja, app yenyewe...
6 Reactions
12 Replies
759 Views
Microsoft wameachia feature mpya kwa watumiaji wa windows 10 na windows 11 kuweza kuhamisha files lolote toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta bila waya, Unatumia mfumo wa wireless tu kuweza...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada wa Best Telegram Book Bots ๐Ÿค–, kidgo nachemka apa
1 Reactions
1 Replies
597 Views
Mwana YouTube wa zamani Jake Paul na bondia mashughuli Mike Tyson wamekua wakitishiana kitambo kuzichapa kuonyeshana mbabe nani toka July's 20 mwaka huu 2024 lakini pambano lilighailishwa...
2 Reactions
3 Replies
438 Views
๐—š๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—น๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐˜€๐—น๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜‚๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐Ÿ˜” Watu wa nne wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 32 waliweza kupoteza maisha kwenye jiji la Toronto nchi ya Italian Baada ya gari aina ya Tesla kuwaka moto baada...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki๐Ÿ™
2 Reactions
4 Replies
513 Views
Habari wana JF, Naomba kufahamishwa vizuri kuhusu hii kozi ya Bachelor of science in information system inayotolewa UDOM pale CIVE Ina deal na vitu gani hasa? Na je koding ipo sana kwenye hii...
1 Reactions
5 Replies
846 Views
Megabits vs. Megabytes: Understanding Your Internet Speed Ever wondered why your gigabit internet doesn't download games at a thousand megabytes per second? The difference between megabits (Mb)...
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Apple Iko karibu kuweza kutambulisha product yao mpya sokoni ambayo inaitwa wall- mounted display imeundwa kwa ajili ya kuweza ku control nyumba yako. Kifaa icho kimepewa jina la code name J490...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Wakuu habari, laptop yangu nikiwasha inaandika Operating system not found! TATIZO linaweza kuwa lipi na jinsi gani ya kufix Hilo TATIZO? NAOMBA KUWASILISHA
0 Reactions
7 Replies
546 Views
Kampuni ya meta imetoa ripoti inayoonyesha Kuna akaunti za watumiaji wengi wa Facebook ambao ni marehemu wamekufa ila bado akaunti zipo na zinafanya Kazi. Ripoti iyo inaonyesha zaidi ya watu...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna kazi nimepata moja ya majukumu yangu ni kutuma sms ya shukrani kwa wateja wote kila siku waliokuja kupata huduma kwenye kampuni yetu, je app gani itanisaidia wakuu? Thanks in advance.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi unajua unaweza kuongeza nafasi kwenye sd card (memory card) au flash drive kupitia kompyuta ๐Ÿ˜€!! Najua una shangaa relax ๐Ÿ˜ Kuna program Moja ukifanikiwa kuwa nayo inakupa Uwezo wa kuongeza...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Nchi ya Japan inakua taifa la kwanza duniani kuweza Kutuma satellite ya mbao inaitwa "Lighnosat" imeundwa na chuo cha Kyoto university wakishiliana na Sumitomo forestry, ISS kupitia roketi ya...
3 Reactions
5 Replies
593 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ