Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini. Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha...
10 Reactions
68 Replies
7K Views
𝗚𝗮𝗿𝗶 𝗹𝗮 𝗯𝗮𝘁𝗺𝗮𝗻 𝗹𝗶𝗻𝗮𝘂𝘇𝘄𝗮 Wale wapenzi wa movie ya Batman Dark knight kama kweli mfuatiliaji wa movie za mtaalam christian Bale Kuna gari Yale aliyokuwa anatumia inaitwa Tumbler batmobile. Unaweza...
2 Reactions
0 Replies
219 Views
Ukiona umecomment mara Moja harafu ukaona umeletewa maneno ya English harafu juu upande wako wa kulia Kuna x au mkasi 😁 We bonyeza pale kwenye mkasi hiyo comment itakuwa imeshajiplace usirudie...
4 Reactions
9 Replies
366 Views
𝗠𝗮𝗮𝗷𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗽𝗶𝘅𝗲𝗹 Kama unatumia Google pixel nisikilize kwa makini sana 😊, kampuni ya Google kupitia simu zao za Google pixel Kuna feature Moja wameweka kwenye camera na watu wengi...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
𝗠𝗮𝗮𝗷𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗽𝗶𝘅𝗲𝗹 Kama unatumia Google pixel nisikilize kwa makini sana 😊, kampuni ya Google kupitia simu zao za Google pixel Kuna feature Moja wameweka kwenye camera na watu wengi...
0 Reactions
3 Replies
355 Views
Wakuu habari ,kama kichwa cha habari kinavyosomeka naombeni msaada wa jinsi ya kushare data mtandao wa voda
1 Reactions
2 Replies
885 Views
Wakuu, Kwanini kuweka video Mtandao wa X (Twitter) kunachukua muda mrefu hata kama ni ndogo?
0 Reactions
6 Replies
613 Views
Mkombozi wa mablogger bongo ni Adsterra, lakini hizi siku kadhaa kama haifanyi kazi inasumbua hivi au nikwangu tu wakuu? Ukiachana na adsterra nani mwingine ana cpm nzuri maana monetag duuh...
0 Reactions
3 Replies
331 Views
𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 𝘇𝗶𝗺𝗲𝗱𝘂𝗸𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 Watumiaji wa simu za Samsung Galaxy mifumo Yao imedukuliwa na kusababisha changamoto kwa watumiaji wake. Processor ya Samsung Exynos imedukuliwa na wadukuzi na kuweka code...
4 Reactions
3 Replies
666 Views
Kama una mpango wa kudumu wa kupata dollar 100-200 kutwa kupitia app yako achana kabisa na google adsense[admob] wewe kiroho safi bila invalid wala pressure weka fb ads. Taratibu ndiyo mwendo...
8 Reactions
25 Replies
5K Views
Mkombozi wa mablogger bongo ni Adsterra, lakini hizi siku kadhaa kama haifanyi kazi inasumbua hivi au nikwangu tu wakuu? Ukiachana na adsterra nani mwingine ana cpm nzuri maana monetag duuh...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Rasmi sasa WhatsApp waruhusu kuedit message uliyoituma kimakosa au bila kuwa na makosa lakini ungependa kuedit vitu kama vile emoji n.k Ni uamuzi mzuri japo utaleta hoja kuhusu encryption ya...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua App ya Microsoft kali kwa gharama nafuu. Kila kitu cha Microsoft office nachofanya kwenye PC nifanye kwenye Tablet Nimejaribu Microsoft 365 App inanigomea. Nadhani tablet...
1 Reactions
3 Replies
503 Views
Wakuu sio wote tunao weza ku afford kununua super brand zenye quality kubwa kama JBL, BOSE, ENKER, SONY, ORAIMO nk nk Hata hivyo madukani zimejaa Chinese Bluetooth speakers nyingi za kila aina...
15 Reactions
66 Replies
5K Views
Habari wadau humu jukwaaani, Kama pengine kuna member ana simu tajwa hapo juu maybe imekufa mashine au shida ingine. Mimi mdau mwenzake nina uhitaji wa kioo cha simu kama hiyo, kama yupo...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za mda wadau wa jf. Ndugu zangu mwaka jana nilinunua laptop aina ya dell latitude 3410 hapa kipindi nainunua niliikuta ikiwa na setup ambayo inaiwezesha kuwasha kwa kukunjua tu ile screen...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
TikTok itafungwa 2025 TikTok itakutana na rungu nchini marekani ifikapo January 2025 itakua mwisho kutumika nchini marekani. Ikiwa byte dance atashindwa kuuza hisa zake kwa wamarekani...
0 Reactions
3 Replies
431 Views
Teknolojia hii balaa Kutana na jamaa mmoja anaitwa Tomas Vega mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Augmental, ameleta teknolojia mpya ambayo itaweza kuwasaidia wale watu wenye tatizo la...
0 Reactions
2 Replies
395 Views
Kama unapata shida Kufungua PM inaandika connecting ebu Fanya hivi Update crome yako au browser
0 Reactions
2 Replies
414 Views
Kampuni ya apple imesema itatoa Zawadi ya dola milioni moja kwa yeyote atakayeweza kudukua mfumo wao mpya wa seva za akili bandia (AI) kwenye apple intelligence. Kampuni hiyo iliweza kutangaza...
1 Reactions
12 Replies
809 Views
Back
Top Bottom