Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

#Mwanakidigitali utajisikiaje umetoa pesa yako kununua simu kisha ukauziwa simu yenye matatizo kibao. Moja kati ya hofu ya Wateja wengi kutoka Tanzania wanapotaka kununua simu / Laptop used...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kawaida hope mko poa Mimi napenda sana programming na nina baadhi ya projects nimesha zi develop Za desktop, mobile, na web based systems. Nimesoma chuo ila nilikua based on...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Kati ya hizi aina mbili za simu . Google pixel na Iphone ambayo nzuri ni ipi nimechoka Samsung
7 Reactions
39 Replies
4K Views
Umeshawahi kucheza game ya God of War ? ☣️ Miaka 20 iliyopita Game pendwa ulimwenguni iliyokuwa inaongoza kuharibu Pad 😃, God of War iliweza kuachiwa. God of War ni. Game la mapigano la...
2 Reactions
8 Replies
505 Views
Hii nimejaribu Mara nyingi napotumia sim Mb huwa zinaenda kawaida tu Ila nikitumia PC( iwe laptop au desktop) Mb zinakimbia ni balaa. Sababu ya kitaalam ni ipi? Site nazotembelea ni zile zile tu...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Jinsi ya Kutengeneza Pesa na YouTube — Mwongozo wa Kuanza YouTube ni moja ya njia bora za kutengeneza pesa mtandaoni, lakini wengi hawajui pa kuanzia. Kama unatafuta njia ya kuanza kutengeneza...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu je ile hela Tshs 55000 nayotoa ili nipate ACH account. naweza kui withdraw nikitaka kutowa Salio.
1 Reactions
2 Replies
233 Views
Dunia sasa inaenda kasi, ili jamii forums izidi kuwa bora na kubadilika kuendana na teknolojia ya wakati uliopo na ujao. Inabidi waboreshe sana hii application ikiwa ni pamoja na kubuni akili...
10 Reactions
31 Replies
1K Views
Nataka kulog in ila nimesahau pasword .. wanatuma code kwenye namba ya simu .. bado wanatuma verfication code kwenye gmail iyo iyo ambayo nataka kulog in .. Mwishon nikibofya use other way...
1 Reactions
5 Replies
347 Views
Hello JF community, Hope mnaendelea poa nimekuwa napost thread humu ya vitu ninavyofanya na kwa lengo la kuelimisha vijana wengine wajifunze pia kitu ninachofanya leo nimekuja na hii thread ya...
5 Reactions
4 Replies
969 Views
Utangulizi Canva ni zana yenye nguvu sana kwa wale wanaopenda ubunifu. Ukiwa na kipaji cha kubuni, unaweza kutumia Canva kama chanzo cha mapato. Iwe unatafuta biashara ya pembeni au njia ya...
1 Reactions
0 Replies
579 Views
Wenye hili game tupeane mbinu na maujanja ya jinsi ya kutumia silaha na kuibuka mshindi wa vita katika pambano maana sasa hivi nakula sana za kichwa kwenye Ranked
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Tengeneza Zaidi ya $300 Kwa Mwezi na YouTube Channel za Hadithi Unahitaji simu na internet Tu ! Soma Mpaka Mwisho ( UZI ) YouTube ni Moja Kati Ya Jukwaa Ambalo Linalipa Content Creators (...
1 Reactions
1 Replies
686 Views
Miaka kadhaa iliyopita, developer mmoja alifanikiwa kuunda mini app ndani ya siku mbili pekee wakati wa mapumziko yake kutoka kazi kuu. Bila msaada wa team au marketing budgetalihusika moja kwa...
3 Reactions
0 Replies
333 Views
Wakuu, naomba Msaada wa namna ya ku unlock hii pocket router ya Alcatel pichani Nikiweka line tofauti na voda inaandika hivi👇🏽👇🏽
2 Reactions
72 Replies
3K Views
Naomba jibu la hilo swali langu Maana Mtu anaweza akakopa simu akaitumia ikawa used halafu akaiuza kwa mtu mwingine. Bila kumuambia simu ina deni
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau Kwa wanaoona Kanye west ni chizi basi jifikirieni mara mbili, mana Kuna ukweli kwenye analolisema. Kanye west anadai scammers wa crypto walimfuata na kumwambia apost kwenye x crypto yao...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Jumapili ya leo nataka niangalie hii muvi pamoja na watoto nimeshindwa kuipata, nakuja kwenu wataalam wa kuyajua machimbo ya links na torrents nawaomba mnisaidie
2 Reactions
11 Replies
741 Views
#mwanakidigitali hii utaipenda … WhatsApp wamefanya mabadiliko makubwa kwenye Ststus zake na sasa unaweza kuweka muziki wowote unaotaka unapo post picha kupitia WhatsApp status 📌 Ona...
6 Reactions
6 Replies
941 Views
WanaJF, Poleni na majukumu. Kama mada inavyosomeka kwenye kichwa cha habari TV ya Hisense imeacha kuonyesha picha na ninahisi kwamba kama bulb zake zimeungua. Msaada tafadhali kwa mafundi...
1 Reactions
56 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…