Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

M.2 SSD ni Nini? Fahamu Chanzo cha Kasi Mpya kwenye Kompyuta za Kisasa Na Maleko GJ Ikiwa kuna kitu kimoja watumiaji wa kompyuta wanataka zaidi kila siku, ni kasi. Kasi ya kuwasha kompyuta...
4 Reactions
13 Replies
739 Views
Watu wengi hupata changamoto kujua kama namba fulani ya simu ni ya Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel au TTCL. Karibu tushirikiane kujuzana namba za mwanzo za kutambua mtandao, Tuzikusanye zote na...
2 Reactions
7 Replies
9K Views
πŸ”§ HUDUMA ZETU ZINAHUSISHA: βœ… Matengenezo ya simu aina zote (Android & iPhone) βœ… Kurekebisha simu zilizoharibika au kuzimika ghafla βœ… Kuflash simu ili kurekebisha matatizo ya mfumo (software) βœ…...
0 Reactions
0 Replies
321 Views
Habari wadau. Nina printer yangu, epson L3210, Nozzle check ya printer Iko safi, nimefanya power cleaning mara kadhaa Ila Bado ukiprint kuna mistari midogo inaacha. Mistari myeupe ambayo inakata...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Elon Musk has just unveiled XChat, a revolutionary new platform that is set to redefine private communication. With a strong focus on security and user privacy, XChat offers a suite of features...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kompyuta ya AI ni Nini, na Inatofautianaje na Kompyuta ya Kawaida? Na ITS MALEKOGJ Katika zama hizi za maendeleo ya kasi ya teknolojia, kila siku tunasikia maneno mapya. Mojawapo ni β€œAI PC” β€” au...
5 Reactions
3 Replies
743 Views
Bajeti yangu ni shilingi laki 7,nahitaji kununua mashine ya kufulia nguo Ni mashine ipi nzuri pamoja na model yake Mashine ambayo hata ikiharibika spea zimejaa na mafundi wengi wanaziweza
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Najaribu jiuliza kwanini. Data bundle zinawahi kuisha sana . Hata kama HUFUNGUI ZILE APPS ZINAZOKULA MB SANA .....MFANO IG , TIKTOK , JUST NI JF TUU FB YENYE LITE DATA SAVER , KARIBUNI...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu napataje Tshs 100k kwa mwezi. Kupitia skills hizi 2d drafting & CAD kwa kuchora michoro ya majengo, mitambo na frontend web development (html, css, JavaScript) kwa kutengeza tovuti za...
2 Reactions
17 Replies
634 Views
Sekta ya Akili Bandia (AI) inakabiliwa na mvutano mkubwa kati ya uwekezaji na ahadi za kiteknolojia ("hype") dhidi ya changamoto halisi za utekelezaji na maadili ("uhalisia"). Mfano mkuu wa hatari...
3 Reactions
4 Replies
460 Views
Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu. Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu...
4 Reactions
192 Replies
7K Views
Hakuna aliyekua anabisha Htc alikua Kampuni Tishio kwenye matoleo ya simu miaka ya Nyuma hakuwa na mpinzani kabisa. Lakini baada ya miaka kupita Htc alipoteza dira na kupotea kwenye Ramani, Je...
4 Reactions
1 Replies
434 Views
Habarini. Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.? Msaada...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C# Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Utapeli mitandaoni kupitia phishing link na jinsi unavyoweza kujilinda. Siku hizi karibu kila kitu kiko mtandaoni kutoka kwa mitandao ya kijamii, benki, hadi mawasiliano ya kila siku. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Habari zenu wadau Natoa huduma za kudesign website kwa gharama ndogo tu ya tsh 200,000. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM Location nipo Dar-es-salaam na Kilimanjaro. Kwenye attachment ni sample ya...
0 Reactions
4 Replies
494 Views
1. i phones ni gharama, Hapa sitazungumza sana, nachoomba tu nenda duka linalouza i phones mpya (sio mitumba / refurbished) kaulize bei, Inabidi uwe vizuri kiuchumi tofauti na huku android kuna...
107 Reactions
644 Replies
74K Views
Naombeni Masada namba yangu imekataa kabisa kuji register kwenye whatsapp nimejaribu sana, Lakini inaandika hivi
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Unachangamoto ya kompyuta kutumia bando la Intaneti sana? Suluhisho ni data saver, Bei 30,000 Tsh. Programu ya data saver itakusaidia kuepusha Windows OS kujiupdati na kuzuia background usage la...
0 Reactions
2 Replies
372 Views
Changamoto gani ya software unayo kwenye kompyuta Yako? Nikusaidie Napatikana mkoa wa dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…