Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari, naomba wataalam mniweke mwangani juu ya kufanya trading kwa kutumia Robots, je kuna faida gani? kuna hasara gani? Kununua Robot mfano kutoka Royal Q kunaweza kuwa na utapeli wowote? Je...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimetumia mtkclient na mtk bypass utility zote zinasema zime succeed ila bootloader bado ipo locked,ssimu ni oppo A53S 5G Model CPH2321
1 Reactions
1 Replies
256 Views
Watumiaji wa iphone wana kautindio flani hivi nimeona kwa watu kumi na hii ndiyo researvh finding yangu
5 Reactions
35 Replies
1K Views
Ikiwa, Unatamani kujifunza Tehama kwa umahili Karibu katika Group hili, Jiku Tech Tips Maarifa Mtandaoni ni Mengi na yanatosha, Miongozo ndio Hakuna, Utapata Muongozo sahihi wa kujifunza Tehama...
1 Reactions
3 Replies
408 Views
Wajuvi wa mambo, Kama heading inavyosema. Hivi, hapa Dar/Tz duka gani huuza vifaa vya elektoniki mfano simu, kompyuta , camera, n.k. halisi kabisa? Yani ninunue, niweze kusajili kifaa changu...
1 Reactions
5 Replies
379 Views
Habarini, naomba kujuzwa katika hizi flat screen za wananchi wa kipato cha kawaida, ni ipi bora kuliko zingine? -Star-X tv -Aborder tv -Sundar tv Hapa siongelei zile za kibosile kama Sony, LG na...
3 Reactions
108 Replies
29K Views
Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni. Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko...
13 Reactions
101 Replies
5K Views
Nataka kununua bluetooth speaker, nimeipenda sana JBL BOOM BOX 3, ila sina bajeti yake, ni mdundo gani unaoendana na huo kwa bajet ya 400,000? Ambao ni portable kama boom3?
2 Reactions
6 Replies
482 Views
Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old...
1 Reactions
3 Replies
674 Views
Hakuna tena haja ya kutengeneza vyakula vya mifugo usovyojua matokeo yake kwenye ulishaji,mchawi computer,cha msingi unapaswa kujua ingredients zinazotakiwa kwenye utengenezaji wa vyakula vya...
0 Reactions
1 Replies
227 Views
Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana — ukiachana na UDOM (University of Dodoma). Jana nilikuwa...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Niliiflash Laptop ya Client Nikakuta Picha Zake za Siri Akiwa Chuo Kikuu 2020 😳 Je, unafikiri kuflash laptop huondoa kila kitu? Usidanganyike. Data zako "binafsi" zinaweza kuwa bado zinajitokeza...
5 Reactions
4 Replies
565 Views
Real Madrid spent $80M to sign Ronaldo from Manchester United in 2009. Meta paid $100M to sign Jiahui Yu from OpenAI in 2025.
1 Reactions
4 Replies
369 Views
Watu hawasomi copy zako kwa sababu ni nzuri — wanasoma kwa sababu wanajihisi kama wewe unajua tatizo lao. Copy nzuri haizungumzii bidhaa. Inaingia kichwani kwa mteja, inamgusa rohoni, kisha...
0 Reactions
1 Replies
263 Views
Guys watu wengi hua mnasikia terminologies yani 2G, 3G Mara H, H+ au E etc, Je, maana yake ni nini kwenye network? Kwa kifupi ni speed zinazotumika kusafirisha data kwenye internet ambapo...
36 Reactions
80 Replies
22K Views
Simu Yako ni Silaha Dhidi Yako Jinsi Namba ya Simu, Spyware, na Serikali Zinavyotumika Kukudhibiti Bila Wewe Kujua By Its MalekoGJ Mara ya mwisho uliwaza nini kuhusu usalama wa simu yako? Wengi...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
💡 Kama unakumbuka Mwaka 2021 𝗟𝗚 iliweza kufanya uamuzi wa wa kuacha Soko la kuuza simu za Smartphone Mnamo mwaka 2021, ambapo wakati huo kwa zile brand za toleo la Korea kusini wakaweza kuendelea...
4 Reactions
3 Replies
650 Views
Ndugu zanguni Ni muda sasa sijapost humu kwani nimekua bize sana na kazi Nimekua nikiona na kusikia vijana wakilalamika sana kuhusu ajira. Napenda kuwajuza tu kua moja ya ajira ambazo huhitaji...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza juu ya ubora wa mashine za xerox kwa kazi za stationary, au ni mashine gani nyingine Bora ambayo inaprint na kutoa copy kwa rangi?
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…