๐ป Nilianza na simu yangu. Sio laptop.
Wakati nikiwa chuoni, nilikuwa natumia simu yangu kujifunza HTML na CSS kupitia w3schools na tutorials za YouTube.
Nilitengeneza web pages ndogo ndogo...
Wapenzi wa Movie Kuna movie ya zamani Sana Tom Cruise kijana mdogo inaitwa The Color of money,.
Story,Kuna mzee ujana wake alikua fundi Sana wa kucheza Pool table alikua maarufu na ndoto yake aje...
Habarin wana jamii forum nina pesa zangu zipo huko neteller ni dollar kadhaa na nina shida nazo nataka nizitoe fasta shida ni kwamba kwa tanzania ni only to bank hakuna mobile network.
Na ubaya...
Najua watu wengi tumeutizama mzigo wa squid game unaelewa jinsi ulivyo wa kibabe au Kuna MTU wa kupinga [emoji6]!!
Sasa Netflix wamekuja kivinge kabisa ile series Yao ya ๐๐ช๐ฎ๐ข๐ ๐๐๐ฆ๐ wameamua...
Inawezekana mwezi huu kabla hujafikia tamati basi Tecno wanaweza kukuletea simu mpya yenye uwezo wa kujikunja mara Tatu yani Tripple - Fold smartphone.
Simu hii itakua ni toleo la muendelezo...
HABARI WADAU, Kichwa kinajieleza, nimejaribu kutafiti nikabaini Google inc ambao ndio wamiliki wa Android wameblock whatsapp na Youtube kwenye Android 7 kushuka chini, japokuwa whatsapp wenyewe...
Siku hizi kwenye mabenki, mashirika, apps, kusajili line, n.k. wanahitaji kupiga picha ya vidole kwa kamera badala ya kugandamiza kidole kwenye kifaa cha biometric.
Hili linaibua wasiwasi mkubwa...
Laptop Yako Inaweza Kuibiwa Bila Kuguswa โ Ukweli wa Remote Access Unaofichwa na Wataalamu"
By ITS MALEKOGJ
Je, umewahi kujiuliza kama kuna mtu anaweza kutumia laptop yako bila wewe kujua?
Je...
Hello wanajukwaa natumai ni wazima wa afya!
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya...
Nataka kuingia ESS portal ila Kila nikilog in Kuna Ujumbe ukakuja kuwa check your internet connection hali ya kuwa nipo online na GB za kutosha..
Unahidi itakuwa ni noni tatizo mdau..,?
o3 vs o4-mini: Comparing OpenAI's High Reasoning Models for Coding
Both o3 and o4-mini are part of OpenAI's specialized "o-series" reasoning models released in 2025, designed to excel at complex...
Watumiaji wa Samsung kupitia toleo jipya la one User interface version UI 7 ni muhimu Kufanya marekebisho mapya ila kuipa usalama kifaa chako kwa upande wa betri.
Simu za Samsung na android...
Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika
Changamoto kuu ni...
Wakuu wa Tech inakuaje....!?
Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi...