Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
17 Reactions
77 Replies
9K Views
Arduino uno zipo mbili zimebaki bei sawa na bure, njoo inbox kwa wateja serious. 28,000. Free delivery au unaweza kufata mwenyewe.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi. Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Waungwana naomba mnisaidie jinsi ya ku-logout JamiiForums, mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa msaada tafadhali!
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
0 Reactions
0 Replies
160 Views
Hello wadau. Fulsa imetolewa bure ya kuandika kwenye website. Website hii ni engineering blog, wadau wote wenye interest ya kuandika na kutaka ku share mambo mbali mbali ya kitaaluma wanaweza...
2 Reactions
0 Replies
199 Views
Huu ndo ukweli. Checki wanavyo emerge https://youtube.com/shorts/LU34ylP10eo?si=lDy4ipNGT3emQO13
1 Reactions
8 Replies
586 Views
Matatizo ya Kawaida ya Kompyuta na Namna Sahihi ya Kuyatatua Katika dunia ya sasa inayotegemea teknolojia, matatizo ya kompyuta ni ya kawaida kwa watumiaji wa kila ngazi – kuanzia wanafunzi...
2 Reactions
1 Replies
447 Views
Kama umewahi kujiuliza, “Nawezaje kupata kipato cha uhakika mtandaoni?” — basi makala hii ni kwa ajili yako. Watu wengi hufikiri lazima uwe na kompyuta kubwa, ujuzi mgumu au uwe na mtaji wa...
1 Reactions
5 Replies
675 Views
Natafuta adsense yenye site kama unayo njoo inbox tufanye biashara, 0718474600
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Kabla Hujanunua Monitor ya OLED Huu Ndio Ukweli Wengi Hawakwambii By MALEKOGJ OLED Monitors Si Kitu Kizuri Kama Unavyodhani – Huu Ndio Ukweli Usiosemwa Katika dunia ya teknolojia ya kisasa...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS...
2 Reactions
4 Replies
547 Views
Wakuu, niko na bajeti hii ya 500,000 hadi 600,000 nahitaji nipate Simu(Google pixel) ya ipi itanifaa..? Kama una ushauri kwa brand nyingine tofauti na hiyo yenye ubora unaweza kunisanua/kunipa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
As an Internet user, it is essential to secure your identity. So, here I have shared some best VPN for Android to stay anonymous from the online world. The online world is filled with threats to...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kitabu chochote cha ufundi simu haswa smartphone kiwe kwenye mfumo wa pdf
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Wataalamu, naomba kufahamishwa namna ya kupiga simu nje ya nchi kwa bei nafuu kwa contacts ambazo haziko linked na call apps au sociaL media apps(whatsapps, line, viber..). MItandao ya simu ina...
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Lenovo Thinkpad Yoga ✅Core m3 ✅8th ✅Ram 8gb ✅SSD 256 gb ✅TOUCH ✅X360 rotations ✅Audio jack ✅3 USB PORT ✅TYPE C CHARGE Naomba kufaham laptop yenye sifa hiz ni bei Gani ?
2 Reactions
2 Replies
309 Views
Habari Wakuu! Nahitaji system ya kununua kwa ajili ya kutumia kwenye kampuni ya mkopo. Ya kununua moja kwa moja sio kulipia kwa mwezi.Tuwasiliane basi PM iko wazi.
1 Reactions
3 Replies
399 Views
Jamani WhatsApp wameniambia namba yangu ya WhatsApp iko Banned ila sijui chanzo wala tatizo nililolifanya naombeni msaada jamani.
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Screen yangu hiyo imepasuka na Niko Dodoma,mwenye connection wapi naweza,tafadhali nisaidie
1 Reactions
2 Replies
310 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…