Hello
Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.
Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
Hello wadau.
Fulsa imetolewa bure ya kuandika kwenye website. Website hii ni engineering blog, wadau wote wenye interest ya kuandika na kutaka ku share mambo mbali mbali ya kitaaluma wanaweza...
Matatizo ya Kawaida ya Kompyuta na Namna Sahihi ya Kuyatatua
Katika dunia ya sasa inayotegemea teknolojia, matatizo ya kompyuta ni ya kawaida kwa watumiaji wa kila ngazi – kuanzia wanafunzi...
Kama umewahi kujiuliza, “Nawezaje kupata kipato cha uhakika mtandaoni?” — basi makala hii ni kwa ajili yako.
Watu wengi hufikiri lazima uwe na kompyuta kubwa, ujuzi mgumu au uwe na mtaji wa...
Kabla Hujanunua Monitor ya OLED Huu Ndio Ukweli Wengi Hawakwambii
By MALEKOGJ
OLED Monitors Si Kitu Kizuri Kama Unavyodhani – Huu Ndio Ukweli Usiosemwa
Katika dunia ya teknolojia ya kisasa...
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS...
Wakuu, niko na bajeti hii ya 500,000 hadi 600,000 nahitaji nipate Simu(Google pixel) ya ipi itanifaa..?
Kama una ushauri kwa brand nyingine tofauti na hiyo yenye ubora unaweza kunisanua/kunipa...
As an Internet user, it is essential to secure your identity. So, here I have shared some best VPN for Android to stay anonymous from the online world.
The online world is filled with threats to...
Wataalamu, naomba kufahamishwa namna ya kupiga simu nje ya nchi kwa bei nafuu kwa contacts ambazo haziko linked na call apps au sociaL media apps(whatsapps, line, viber..).
MItandao ya simu ina...
Lenovo Thinkpad Yoga
✅Core m3
✅8th
✅Ram 8gb
✅SSD 256 gb
✅TOUCH
✅X360 rotations
✅Audio jack
✅3 USB PORT
✅TYPE C CHARGE
Naomba kufaham laptop yenye sifa hiz ni bei Gani ?
Habari Wakuu!
Nahitaji system ya kununua kwa ajili ya kutumia kwenye kampuni ya mkopo.
Ya kununua moja kwa moja sio kulipia kwa mwezi.Tuwasiliane basi PM iko wazi.