Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Tunauza Generator Spare parts kwa upande wa Engine, Ac alternator(Kinu) and Automation( Automatic Mode). Kuna plc za Deepsea zpo mpya na Used(Refurb). Model 7320 MKI, 7320MKII, 7420MKII...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Sikiliza kionjo tu cha dakika moja kisha toa maoni.
0 Reactions
17 Replies
882 Views
Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, huduma za kifedha kupitia simu za mkononi zimekuwa mkombozi mkubwa kwa watu wengi. Applikesheni kama M-Pesa zimeleta urahisi wa kufanya miamala, kulipia...
13 Reactions
99 Replies
4K Views
Kuna hii platform ya kimtandao inayojihusisha na kutoa huduma za kifedha inaitwa SELCOM HUDUMA. Hawana huduma kwa wateja nzuri, kubwa lililonileta kwenu miamala imekwama kwa muda wa wiki moja...
6 Reactions
17 Replies
18K Views
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake. Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo. Ukiwachukulia poa utasema ni garbage...
17 Reactions
71 Replies
4K Views
🔥 Je, SSD Yako Ina Afya Nzuri? Hivi Ndio Namba Zinavyosema Wengi hudhani SSD (Solid State Drive) ikishafanya kazi basi haina matatizo—lakini ukweli ni kwamba, kila SSD ina maisha yake. Kila namba...
1 Reactions
8 Replies
896 Views
Je, umewahi kujiuliza programu zinazotumika kwenye simu yako au kompyuta zinafanyaje kazi? Au unatamani kuunda programu zako mwenyewe? Basi kujifunza programu kwa kutumia Java ni njia nzuri ya...
4 Reactions
69 Replies
3K Views
Xiaomi wamekua wakitoa models za Xiaomi (zamani Mi) flagship tokea 2011 walivyotoa Mi 1 hadi 2021 wakaona waziite tu Xiaomi 12 na kuachana Mi. Sasa mwaka jana walitoa Xiaomi 15 ikiwa na simu nne...
14 Reactions
95 Replies
3K Views
Wakuu habari? Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL. Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza...
18 Reactions
71 Replies
9K Views
Kampuni ya kutengeneza 'Videogame' ya Electronic Arts (EA), ikiwemo EA Sports, imeuzwa kwa thamani ya dola za Marekani bilioni 55 na kugeuzwa kuwa kampuni ya binafsi. Wanunuzi hao ni pamoja na...
2 Reactions
2 Replies
292 Views
Wakuu habari za boxing day. Mojawapo ya mipango yangu ya 2024 ni kubadilisha na kupendezesha kisebule changu na vifaa vya kisasa vya kielektroniki. Sasa nilikua naomba ushauri ama review ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Majibu ya Maswali 14 ya Kompyuta Ambayo Watu Wengi Tanzania Huogopa Kuuliza (Lakini Wanauliza Sana Kimoyomoyo) Kama wewe ni mfanyabiashara mdogo au mwanafunzi, unatumia kompyuta kila siku...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwa ambao wameshatumia e sim (embedded sim) what is the new experince. Ni hatua zipi za kufuata kuregister e sim kwa Tanzania
3 Reactions
9 Replies
551 Views
Kama picha zinavoonesha hapo anadai kuonesha ligi zote kubwa ulaya kwa bei nafuu tu matangazo yako facebook. Naomba ufafanunuzi kama hii kitu inawezekana anadai king'amuzi kinaitwa premium hd...
2 Reactions
15 Replies
790 Views
Je, unatumia kifaa cha Android? Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu? Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Kampuni ya Tesla, inayojulikana kwa ubunifu katika magari ya umeme na nishati safi, sasa imeingia rasmi kwenye soko la simu za kisasa kwa kuzindua Tesla Pi Max. Simu hii imeundwa kwa teknolojia ya...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Kutoka SIM Card Hadi eSIM Mapambano ya Kidijitali Kuhusu Nani Anayedhibiti Utambulisho Wako Vipii Umewai kujiuliza Je, Tunamiliki Nambari Zetu za Simu, au Nambari Ndizo Zinatumiliki? Katika...
1 Reactions
1 Replies
398 Views
Kumekuwa na maneno mengi kuhu hii IOS 26 leo mimi nika amua kujitoa mwanga nime fanya update up now ipo vizuri napiga simu na pokea sms haina shida zaidi naona simu ime kuwa nyepesi zaidi uki gusa...
2 Reactions
11 Replies
477 Views
kWh (kilowatt-hour), Wh (watt-hours), mAh (milliampere-hour), V (Volts) Unit 1 ya shilingi mia tatu ni sawa na 1000 Wh ( 1 kWh) Tuchukue mfano wa simu ya smartphone yenye betri kubwa ya 4,000...
3 Reactions
9 Replies
597 Views
Naomba msaada wa laptop nzuri kwa ajili ya masomo. Software zinazotumika kwenye kozi husika ni CAD, baada ya kufuatilia Naomba msaada ni laptop ipi infaa kwa 800K hadi 900K mwisho Pia kuna...
5 Reactions
11 Replies
742 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…