Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari, Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Hivi vioo bya simu sikujui wanauje maana mafundi wengi wanakwambia, kubadili kioo ni 45 mpaka 55 elfu... Me nataka nijue bei ya kioo pasipo ufundi
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, King'amuzi changu cha Azam TV kinaandika neno App baada ya kukiwasha halafu hakionyeshi chochote, ila mwanzo kwenye TV huwa linaanza kuja neno Azam TV halafu mwishowe kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Naomba kujua hivi ving'amuzi vinavyotumia moderm/internet vinaitwaje, bei yake na vipi kuhusu matumizi ya bundle. Naomba kuwasilisha
1 Reactions
1 Replies
477 Views
Sony, Lg, Smart watch za Android… Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa zitumiazo android OS Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
0 Reactions
1 Replies
504 Views
Natumia simu brand ni oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then...
0 Reactions
4 Replies
533 Views
Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa...
1 Reactions
2 Replies
482 Views
Habari zenu wanajamvi! Natumai mnaendelea salama na majukumu yenu. Jana ilikua ni siku ya kukumbukwa kwa kile kinachodhaniwa ni siri kubwa ya mambo ya Anga kutokana na kupotea kwa ndege ya...
0 Reactions
1 Replies
395 Views
Maeneo ya kazini huwa kuna madogo wa chuoni hapa nafahamiana nao wakiniletea kazi za viti, vitanda, meza, n.k. Sasa mwezi uliopita kwenye pirika pirika za vyuo kufungua katika story za hapa na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
To automatically remove duplicate words: Enter (<*>) (\1) in the “Find what” box. Then; enter \1 in the “Replace with” box. Then; Click the “Replace All” button. To automatically remove...
2 Reactions
1 Replies
405 Views
Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat. Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
0 Reactions
2 Replies
491 Views
MAWASILIANO YA SATELAITI Satelaiti ni nini? Ni mwezi (moon), sayari (planet) au mashine inayozunguka sayari au nyota. Satelaiti ya kwanza kutengenezwa na binadamu, kupelekwa angani na kuwekwa...
16 Reactions
145 Replies
43K Views
In a world where technology continues to evolve at a rapid pace, Samsung contintues to be at the forefront with the roll out of Galaxy AI now in more device range. This innovation is a...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
W*f Haya sasa baada ya mda mrefu wa ban kwa matumizi ya GPT respond kujibu maswali stackoverflow.com, leo stackoverflow wameamua kutoa API / Datasets kwenda openAI na kuzidi ku improve LLM...
0 Reactions
1 Replies
370 Views
Wakuu uwezekano wa ku bypass iphone 13 upo? Inawezekana na kama inawezekana ni kama vile tunavyofanya zile nyingine?
0 Reactions
3 Replies
791 Views
Ukijifunza mkakati huu Itakuwa sio lazima u post kila siku biashara yako, ni mara moja tu , na ndio muda sahihi wa kulipia tangazo lako yaan sponsored ad ambayo inaweza kukupa matokeo...
1 Reactions
0 Replies
251 Views
Msaada kwa mtu anaye jua software au njia ya kufanya connection kati ya reporter anaye taka kurusha matangazo live from field to ONAIR studio... Equipment alizo nazo field: 1.pc 2.soundcard...
0 Reactions
1 Replies
359 Views
Wadau hakika kipa umbele ni simu inayodumu sana na Chaji. Nisaidieni kupata simu hiyo hata kama ni Refurbished kwa maximum budget ya 1.1 TZS Million. Inatakiwa kama ni Samsung iwe at least S10+ na...
4 Reactions
54 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…