Utakuwa unamaanisha TV Box, hizi ni kama computer au simu iliyounganishwa kwenye TV, zinatumia Android mara nyingi na App ni kama za kwenye simu so zinakula data kama hivyo hivyo, zinahitaji wifi au wired internet, kama hauna unlimited internet utateseka. Haina "channel" ni juu yako kutafuta vitu vya kuangalia kama vile kwenye simu.
Bei zinatofautiana kuendana na uwezo wa processor n.k unaweza kucheki TV box aliexpress utaona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.