Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Njia ya kwanza ni [emoji116][emoji116] KUFANYA ACTIVATION WINDOW 10 NA WINDOW 11 Kompyuta Yako inadai activation? Umeshindwa kufanya Activation ya windows Kwenye kompyuta Yako ? Usijali Leo...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Binafsi mimi ni mpenzi wa muziki mno ninataka kesho nichukue JBL au Anker. Ila nasikia wadau wa muziki wanasema Anker ni nzuri zaidi kuliko JBL. Je, kweli kwa mliowahi tumia hizi bidhaa...
4 Reactions
59 Replies
7K Views
๐—•๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚๐—ธ๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ป๐—ถ Bunduki hatari ulimwenguni ni Ak 47 ambayo iligunduliwa miaka ya nyuma na mtu mmoja kutoka nchi ya urusi anaitwa Mikhail Kalashnikov. Wanasema Uvumbuzi ni kitu kizuri...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
๐—๐—ฒ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ?? Hivi unajua Jeshi la polisi nchini Tanzania lina app yake yenye kukusaidia kupata taarifa mbalimbali kupitia simu yako kwa urahisi na inafanya kazi kwa asilimia ๐Ÿ’ฏ. Tuko kwenye...
1 Reactions
0 Replies
356 Views
MUONGOZO WA PROGRAMMING NA UTEKELEZAJI WAKE KATIKA MAZINGIRA HARISI. SOFTWARE ENGINEERING Ni taaluma ambayo inatumia kanuni za uandisi (engineering principal) ku design, kutengeneza, kuboresha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana JF, Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo. Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza...
2 Reactions
5 Replies
543 Views
Nina tv ambayo sio smart. Sasa kuna jamaa amenishawishi ninunue tv box ili niweze kupata access ya kustream movie na mechi kwa kupitia tv box kwenye tv yangu. Je ubora wa hizo tv box upoje? Vp...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wadau Natafuta simu zangu mbili zilizoibiwa . Polisi waliniahidi kuwa zitapatikana lakini sasa nakaribia mwaka Ila niliambiwa wapo vijana wa IT wanauwezo wa kutrack simu na kuzipata. Naomba...
3 Reactions
10 Replies
845 Views
Miaka ishirini imepita tangu kuachiliwa kwa GTA San Andreas, moja ya michezo inayopendwa na kuheshimiwa zaidi katika tasnia ya michezo ya kielektroniki. GTA San Andreas ilibadilisha standard ya...
6 Reactions
12 Replies
714 Views
Nahitaji hii simu,hata kama ni mbovu. Mwenye nayo au anaeweza kuipata tafadhali.
2 Reactions
9 Replies
498 Views
Jana usiku, majira ya saa mbili hivi, nilikuwa mahali nikibadilishana mawazo na washkaji, lakini bila kutarajia, nilijikuta macho yangu yakielekea angani ambapo yaliona kitu kilichotafsiriwa...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Hellow watu wangu wa games. kwawale wanao penda games tu share website mbali mbali za kucheza na ku dawnload PC GAMES Naanza na hizi; https://oceansofgamess.com/...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF, Nilichukua simu samsung s21 ultra hz used from dubai kama miezi 2 hv imepita ipo frexh sehem zote sema kimbembe kwenye laini aloo. Ninaweza kuwa naongea na simu au sometime nacheza...
0 Reactions
0 Replies
320 Views
Android ni mfumo endedhi unaotumiwa sana kwenye vifaa vya kielectronic kama vile simu za mkononi na vifaa vingine vya kielectronic . Utengenezaji wa application za simu za android ni mchakato wa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo mwanza nina simu ya xiaomi k50 nataka kutoa kwenye mfumo wa hyper os nirudi kwenye miui 14 au 13. Anaeweza njoo inbox tufanye kazi
1 Reactions
18 Replies
767 Views
Natanguliza shukurani kwa msaada katika shida hii Nawezaje kupata Sim Network Unlock Pin kwa simu ya Samsung, nikiwasha inakuja na pop up scree isemayo SIM unlock Network PIN, niki dismiss...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Wasaalam Natumai Hamjambo Kabisa...!! Wakuu nisaidieni jinsi ya ku connect DLS 2024 nataka kutembeza kichapo mahali halafu mtu nnaetaka kucheza nae yupo Marekani. Mie nipo Tanzania msaada tafadhali
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Wanajukwa habari za wakati huu ndugu jamaa na marafiki natumai nyote ni wazima waafya .Lengo kuu la kuandika uzi huu nikuwaombeni msaada wale wataalamu wa maswala ya Technology and science in...
0 Reactions
4 Replies
897 Views
Hello Napataje subtitle โ€˜Englishโ€™ kwa baadhi ya channel mfano Colors International na Star Life kwa Azam Tv Nimejaribu kila mbinu mpaka kifanya Factory reset lakini naambulia patupu ๐Ÿฅน๐Ÿฅน๐Ÿฅน
2 Reactions
9 Replies
28K Views
Tuko kwenye zama za kidijitali ambapo michezo ya video haipo tu kwa ajili ya kuburudisha. Zamani, ilikuwa kawaida kuona michezo ya video kama njia ya "kupoteza muda," lakini sasa, teknolojia...
1 Reactions
1 Replies
497 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ