Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

0 Votes
Matumizi ya mifumo ya kielekroniki katika taasisi mbalimbali za serikali yamekua na matokeo mazuri hasa kwa upande wa kupunguza msongamanokupunguza rushwa na hata pia kwenye suala la ukusanyaji...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Upvote 0
0 Votes
Huu ni kutokana na ukweli kwamba,hata hizo Nchi ambazo zimeendelea ni kwasababu tu ya usimamizi bora wa mapato ya ndani ya Nchi. Tunayo mifano mingi ya kuweza tumia kama rejea.Kwa mfano Nchi ya...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Upvote 0
0 Votes
TANZANIA TUITAKAYO UTANGULIZI Kwa kiasi kikubwa nchi nyingiulimwenguni huweza kuwa na ubalozi katika nchi mbalimbali duniani kwa lengo la kuwakilisha na kulinda maslahi ya taifa husika katika...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Upvote 0
2 Votes
Changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya mijini ina vijijini inachochewa na uharibifu wa vyanzo vya maji na hivyo kufanya kiwango cha maji kinacho patikana kiwe kichache ukilinganisha na...
1 Reactions
0 Replies
320 Views
Upvote 2
2 Votes
Kutokana na ukosefu wa ajira katika nchi yetu ,Elimu ya ufundi stadi imekuwa mkombozi wa vijana wengi sana ndani ya nchi yetu kwani wamejengewa uwezo wa kazi mikononi mwao lakini uwezeshwaji wa...
1 Reactions
0 Replies
326 Views
Upvote 2
2 Votes
1. Kuwekeza katika elimu na mafunzo ya ufundi ili kuongeza ujuzi wa nguvu kazi. 2. Kuvutia uwekezaji wa ndani na nje kwa kuboresha mazingira ya biashara. 3. Kuimarisha miundombinu ya...
1 Reactions
3 Replies
323 Views
Upvote 2
2 Votes
Tanzania tuna watu mbalimbali waliojaliwa vipaji vya akili na ubunifu wa hali ya juu. Serikali haijaweka mpango wa kuwatafuta watu hawa na kuwatengenezea mazingira ya kuwaweka pamoja ili...
1 Reactions
0 Replies
657 Views
Upvote 2
3 Votes
Nchi yetu Tanzania na bara lote la Afrika linapaswa kuanza na mambo yafuatayo ili kuleta mapinduzi ya viwanda. Kwanza, ni muhimu kuunda sera zitakazo ongeza uwezo wa watu wabunifu kujiamini katika...
1 Reactions
0 Replies
269 Views
Upvote 3
3 Votes
TANZANIA TUNAYOITAKA NA AFRIKA TUNAYOITAMANI NI ILE AMBAYO MFUMO WAKE WA MALEZI,UONGOZI NA ELIMU UNAWAJENGEA WANUFAIKA WAKE UWEZO WA KUJITEGEMEA BAADA YA MASOMO Jukumu la kutengeneza kizazi...
1 Reactions
1 Replies
328 Views
Upvote 3
2 Votes
Utangulizi Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi na fursa kubwa za maendeleo. Hata hivyo, ili kufikia uwezo wake kamili, ni muhimu kuwa na miundombinu bora na endelevu. Katika kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Upvote 2
4 Votes
Wazo Bunifu kwa Mabadiliko ya Kijamii na Kiuchumi Nchini Tanzania kwa Miaka 5 hadi 25 Ijayo Utangulizi Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi na nafasi kubwa ya maendeleo. Ili kufikia...
1 Reactions
0 Replies
463 Views
Upvote 4
9 Votes
Utangulizi Somo la hisabati (mathematics) ni moja kati ya masomo yaliyoko kwenye mtaala wa masomo Tanzania kwa kidato cha kwanza hadi cha nne. Kutokana na umhimu wake kwa mtu binafsi, jamii na...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 9
4 Votes
Tanzania's Economic Strategy for the Next 15 Years “Tanzania Tuitakayo” Introduction Tanzania's long-term economic growth and development vision aims to center on sustainable development...
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Upvote 4
2 Votes
Elimu ni ufunguo wa maisha kama walivyosema wadau wa kale katika harakati za kuboresha na kushawishi upatikanaji wa maarifa na ujizi kwa njia ya shule. wazee wetu walipoambiwa elimu ni bora...
1 Reactions
0 Replies
240 Views
Upvote 2
1 Vote
Katika kona ya Afrika Mashariki, Tanzania inasimama kama lulu inayong’aa, ikiwa na matumaini ya kufikia maendeleo yatakayobadilisha mustakabali wake. Kesho ya Tanzania inaangazia uwezekano wa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Upvote 1
2 Votes
Utangulizi Kupunguzwa kwa gharama za intaneti ni suala muhimu linalogusa nyanja nyingi za maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Tanzania, kama nchi nyingi za Afrika, ina nafasi kubwa ya kukuza uchumi...
1 Reactions
0 Replies
384 Views
Upvote 2
1 Vote
I. Unveiling the Shadows The ribbon-cutting ceremony heralded a new era of progress: a gleaming new dam, promising electricity for thousands of homes. Upstream, 567 families watched as their...
0 Reactions
0 Replies
286 Views
Upvote 1
1 Vote
TAIFA LETU LA KESHO Katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita, Tanzania imepiga hatua kubwa katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Hata hivyo, bado kuna safari ndefu ya kufikia maendeleo endelevu...
0 Reactions
0 Replies
293 Views
Upvote 1
2 Votes
Ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiteknolojia pamoja na kiutamduni hatuna budi kuhakikisha baadhi ya mabadiliko katika mfumo mzima wa ajira kuanzia ngazi ya chini...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Upvote 2
1 Vote
Uwajibikaji wa uzazi wa Mpango umeweka mzigo usio sawa kwa wanawake, licha ya ukweli wa kibaolojia kwamba wanaume wana uwezo wa kumfanya mwanamke apate ujauzito. Wanawake huzalisha idadi ndogo ya...
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Upvote 1
Back
Top Bottom