Tanzania pamekuwa na ubadhilifu wa mali za Umma Kila siku lakini hakuna uwajibishwaji wa wale wanaohusika hadi inapelekea kuwa KAWAIDA na wengine hutamani kuiba!
Hii ni Kwa sababu
1. Hakuna...
KESHO YA TANZANIA INATEGEMEA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA.
1.0. Utangulizi.
Teknolojia, kulingana na ensaiklopedia ya Britannica inaamanisha utumiaji wa maarifa ya kisayansi kwa vitendo kwaajili ya...
Jina la Andiko: Kuimarisha Upatikanaji wa Elimu kwa Wanafunzi Wanaoishi Mbali na Shule: Hatua za Kusaidia na Kupunguza Athari za Usafiri wa Jumuiya
Elimu ni moja ya nguzo kuu za maendeleo ya...
TANZANIA TUITATAKAYO
MABADILIKO KATIKA MFUMO WA ELIMU.
MUDA WA ELIMU. Kupunguza MUDA unaotumika kwenye mfumo wa elimu wa sasa wa Darasa la kwanza hadi Kidato cha Sita. Miaka saba (7) ya elimu ya...
SOKO LA AJIRA KWA VIJANA WENYE ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA KIDATO CHA SITA.
TUJIULIZE MASWALI YAFUATAYO.
Je vijana wenye elimu ya kidato cha nne na sita wanasaidiwaje katika soko la ajira?
Je...
Suala la rushwa na kudhibiti kwake bado kuna ugumu na changamoto kubwa licha ya jitihada zinazofanywa na taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa hapa nchini. Suala la rushwa ni moja ya kikwazo...
CHANGAMOTO.
1: Ukosefu wa taarifa za mngonjwa pale anapona tibiwa hospital mbili tofauti kwa wakati tofauti.
2: Kutokea kwa makosa ya kimatibabu kutokana na ukosefu wa taarifa za mngonjwa.
3...
Kwa miaka mingi hadi Sasa Tanzania imeendelea kukabiliwa na changamoto katika utoaji huduma ya maji Kwa wananchi pamoja na ubovu wa miundo mbinu hasa ya Barabara nchini. Changamoto katika maswala...
Tanzania imekuwa na sera na mipango mbalimbali ya miaka kadha mbele na imepiga hatua katika hilo.
Mifano ya sera na mipango iliyofanikiwa ni
Sera ya uwepo wa shule za sekandari kata ,
Sera ya...
Tanzania faces significant nutritional challenges, including high rates of malnutrition, micronutrient deficiencies, and diet-related non-communicable diseases. Rural areas, in particular, suffer...
Tanzania ni nchi yenye wasomi wengi sana wenye maarifa ya hali ya juu,uwezo mkubwa katika proffesional zao na vyeti ambavyo vina watambulisha kuwa wamefuzu katika fani zao walizo somea kama...
Kukwama na kusuasua kwa maendeleo ya Tanzania yanaweza yakawa yameshikiliwa na mambo machache ambayo kama yakibadilishwa yanaweza kuchochea mabadiliko ya kimaendeleo ya kasi sana.Nchi ni mali ya...
UTANGULIZI
Siasa ni sera ya kufanya maamuzi katika ngazi mbalimbali za jamii, kama vile mji,taifa au hata kujumuisha dunia kwa ujumla. Kuna sababu kazaa za kulazimisha kwa nini ushiriki wa...
Tanzania's ApiRevolution: A Sweet Symphony of Economic Transformation and Ecological Harmony
In the heart of East Africa, a symphony of change is buzzing into existence. Tanzania, a nation...
Mimi mtazamo wangu, Tanzania tuitakayo kuweza kuifikia:
1. Kufanya Kazi Kwa bidii shambani na viwandani.
2. Kuwatafutia wakulima masoko ya nje ILI kuweza kuuza bidhaa zao.
3. Kusimamia vzr mapato...
Tanzania Ninayo Itaka Katika Sekta ya Elimu Ndani ya Miaka Mitano hadi ishirini na tano.
Elimu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya nchi yoyote duniani. Inachochea ukuaji wa uchumi, kukuza talanta...
Suala la uongozi katika nchi ya Tanzania kwa asilimia kubwa dhana yake imejengwa katika Mfumo Dume.
Mfumo dume umeanzia katika ngazi ya familia ambayo tangu mtoto anapozaliwa kitu kikubwa...
Tanzania ni inchi iliyobarikiwa kuwa na utajiri wa rasilimali anuwai kama vile ardhi yenye rutuba, uoto wa asili , bahari , mito , maziwa, mbuga za wanyama nakadhalika. Tanzania pia imejaliwa kuwa...
STORIES OF CHANGE 2024
TANZANIA TUITAKAYO
WAJIBU WA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KWA JAMII - (TRAFFIC POLICE PUBLIC LIABILITY)
Jeshi la Polisi kitengo cha Usalama Barabarani linapaswa...
Dunia ya sasa imekuwa ikitawaliwa na kushawishiwa na taasisi mbalimbali za kidini katika nyanja mbalimbali za kisiasa, kielimu, kiuchumi na hata kijamii. Mwitikio na ushawishi wa taasisi za kidini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.