Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

5 Votes
Tanzania ni nchi ambayo inahamasisha sana katika utunzaji wa mazingira. Maeneo ya miji mikubwa kama DAR ES SALAAM, ARUSHA na MWANZA wanapambana ipasavyo kuhakikisha mazingira yanakuwa safi, na...
1 Reactions
5 Replies
446 Views
Upvote 5
1 Vote
Utangulizi Watoto wa kike nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto mbalimbali katika safari yao ya maisha. Changamoto hizi huanzia chini kabisa kwenye malezi na ukuaji wao na huzidi kuibuka...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Upvote 1
4 Votes
Tanzania, kama nchi ambayo ukuaji wake wa kiuchumi unategemea sekta mbalimbali basi Masoko ya jumla yana nafasi kubwa na chanya katika pato la Taifa, kwani ukusanyaji wa mapato huwa ni kwa kiasi...
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Upvote 4
3 Votes
Tanzania ni moja kati ya nchi zinazopiga hatua katika maendeleo kwenye nyanja mbalimbali barani Afrika. Ni nchi iliyojaliwa raslimali nyingi kama madini, maji, misitu, mbuga za Wanyama na watu...
1 Reactions
0 Replies
474 Views
Upvote 3
3 Votes
Kariakoo ni soko kubwa Afrika mashariki na kati kutokana na haswa ikichagizwa na ubora wa bandari yetu ya Dar es salaam kupitisha asilimia kubwa ya mizigo yote kwa Afrika mashariki na kati. Soko...
1 Reactions
0 Replies
298 Views
Upvote 3
3 Votes
Kiukweli watumishi watumishi wa umma na wale wa sekta binafsi wanakubwa na changamoto nyingi sana za kiutumishi,kijamii,kisiasa na kiuchumi pia suala hili serikali isipolipa uzito mapema matokeo...
1 Reactions
0 Replies
276 Views
Upvote 3
3 Votes
Tanzania ni nchi iliyo barikiwa sana ilikuifikia Tanzania tuitakayo ,ningependa kutoa maoni yangu katika secta ya madini Nchi yetu ina madini ya kutosha hususani madini ya chuma yanayo patikana...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Upvote 3
3 Votes
Taasisi ya elimu ingeandaa masomo ya kizalendo kwa watoto sio ti stadi za kazi.Watoto wanabidi wafundishwe uzuri wa nchi yao na pia kupenda nchi yao maana ndio urithi wao ni kazi yao kuilinda...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Upvote 3
4 Votes
Watanzania tunapopatwa na changamoto fulani, wengi wetu huishia kulalamika tu, badala ya kuchukua hatua. Hali hii imefanya watesi wetu kuzidi kutuonea Kwa sababu hata wao wanajua Kuwa hatutochukua...
0 Reactions
0 Replies
220 Views
Upvote 4
1 Vote
Tunajua kwamba elimu ni kitu ambayo tunaenda kuongeza maarifa na kufungua akili zetu.Pale ambapo akili za kawaida zinaishia ukiongezea na za elimu basi tunaweza kuvuka kona nyingine.Lakini elimu...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Upvote 1
1 Vote
Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, Tanzania ina nafasi ya kipekee ya kuibuka kama kiongozi wa maendeleo endelevu barani Afrika. Ili kufikia azma hii, ni muhimu kuwekeza katika ubunifu na...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Upvote 1
2 Votes
"Tanzania tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25" Katika mapambano dhidi ya rushwa na utawala bora UTANGULIZI Mfumo wa data wazi ni mfumo ambao unaruhusu ufikiaji wa data na taarifa bila vikwazo au...
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Upvote 2
1 Vote
Tanzania is a nation with the merger of Tanganyika and Zanzibar, where the merger took place in 1964, Tanzania has been making various efforts to achieve a middle-class economy, including...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Upvote 1
2 Votes
Tanzania inakabiliwa na fursa na changamoto nyingi katika juhudi za kujenga taifa imara na lenye maendeleo endelevu. Katika miaka kumi hadi kumi na tano ijayo, mkazo mkubwa unatakiwa kuwekwa...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Upvote 2
2 Votes
Tanzania, yenye utajiri mkubwa wa vyanzo vya maji kama mito mikubwa na maziwa, bado inakabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wake. Licha ya rasilimali...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Upvote 2
2 Votes
Tanzania kwa kiwango cha uchumi tulichopo kuna haja kubwa ya kufungua na kutoa uhuru kwa wananchi kujishughulisha na kazi yoyote ilmradi haigharimu taifa kiuchumi. Kiu kubwa ni kuwepo kwa mianya...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Upvote 2
2 Votes
Afya ni ile hali ya mwili, akili, na kijamii kuwa sawa. Ni muhimu kujali afya kwa kula vizuri, kufanya mazoezi, na kupata muda wa kutosha wa kupumzika ili mtu aweze kuwa na afya njema. Hili mtu...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Upvote 2
2 Votes
UTANGULIZI Kumekuwa na changamoto kubwa sana katika sekta yaAfya hususani kitengo chakusafirishia wagonjwa kwa kutumia Ambulance, hii ni kutokana na gharama ya usafirishaji kuwa juu zaidi na...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Upvote 2
3 Votes
KWANZA AWALI YA YOTE NAMSHUKURU MUNGU KWA AMANI NA NEEMA ALIYOTUPA SISI KAMA TAIFA LAKINI YAFUATAYO NI MITAZAMIO YA MIAKA 5 HADI 25 NTAKAYOCHANGIA;- 1. Kulingana na mtazamo wangu miaka ijayo...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
Upvote 3
2 Votes
Tukisema mtoto ni taifa la kesho iwe Ina maanisha Kwa vitendo Kwa wadau wazazi mpka serikali yenyewe. Ifike mahali wataalam waafya watoe masomo ya mlo kamili Kwa kina mama wajawazito wapo kliniki...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom