Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

2 Votes
Utangulizi "Tanzania Tuitakayo" ni kauli mbiu inayolenga kuleta mabadiliko chanya kupitia mijadala na fikra bunifu kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu. Katika kipindi cha miaka 5 hadi 25 ijayo...
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Upvote 2
3 Votes
Maendeleo ni Jambo linalohitaji Jitihada kubwa na jumuishi katika Sekta Muhimu kama vile ELIMU, UTALII, VIWANDA, AFYA, SAYANSI NA TEKNOLOJIA Kwa Uhakika Suala la maendeleo ni mchakato wa muda...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Upvote 3
1 Vote
Tanzania Ijayo bila Watoto wa Mtaani: Mwelekeo Sahihi wa Kitatuzi Kadiri siku zinavyokwenda idadi ya watoto wa mtaani inazidi kuongezeka. Ongezeko lao linatishia mustakabali wa nchi kwa sababu...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Upvote 1
2 Votes
Mfumo Mbovu wa Elimu: Kikwazo Kikuu kwa Maendeleo ya Tanzania Elimu ndio kitovu cha maendeleo katika Nyanja zote za Maisha katika nchi na Maisha binafsi ya mtu, kwa bahati mbaya mfumo ambao...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Upvote 2
1 Vote
Ni Mara Kadhaa tumekuwa tukishuhudia jitihada za Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Katika kuhakikisha huduma bora kwa Wananchi wake kwa Kupitisha Bajeti ambayo kila mwaka inaongezeka...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Upvote 1
3 Votes
Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 25 Ijayo Utangulizi Tanzania, nchi yenye utajiri wa maliasili, tamaduni mbalimbali, na watu wenye bidii, ina fursa kubwa ya kufanikisha maendeleo...
1 Reactions
0 Replies
337 Views
Upvote 3
477 Votes
Kasoro ya kuzaliwa ni mabadiliko ya kimuundo ambayo yapo wakati wa kuzaliwa yanaweza kuathiri ukuaji na utendaji wa mtoto. Kwenye nchi yetu uchunguzi uliyofanyika mwaka 2015 kwenye Hospital ya...
124 Reactions
28 Replies
5K Views
Upvote 477
1 Vote
Najivunia sana nchi yangu Tanzania kuwa ni kubwa barani Afrika, ikiwa imesheheni tunu nyingi kama vile ardhi yenye baraka nyingi, utalii, uvuvi, kilimo, viwanda, na sekta nyingi zaidi. Licha ya...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Upvote 1
3 Votes
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda nchi yake kiasi cha kuifia alisikika mtu alisema. Ukarimu na amani ni sifa kadhaa zinazoskika Kwa watu wa njee juu ya nchi yangu Tanzania. Kilio changu katika...
1 Reactions
0 Replies
163 Views
Upvote 3
7 Votes
TANZANIA MPYA: KUANZISHA CHUO MAALUMU KITAKACHOTOA TAALUMA KWA DADA WA KAZI ZA NYUMBANI. Ni wazi kuwa Viongozi wakubwa wa serikali walioko madarakani na waliomaliza muda wao wengi wao walilelewa...
2 Reactions
4 Replies
424 Views
Upvote 7
6 Votes
UTANGULIZI. Utawala bora ni nyenzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi, kidemokrasia, kijamii na hata maandeleo ya mtu mmoja mmoja. Utawala bora ni zoezi la viongozi katika ngazi zote kusimamia...
1 Reactions
1 Replies
339 Views
Upvote 6
5 Votes
Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali na vipaji. Katika miaka kumi hadi kumi na tano ijayo, tunaweza kutumia ubunifu kama kichocheo cha maendeleo endelevu na kujenga taifa lenye...
1 Reactions
1 Replies
275 Views
Upvote 5
1 Vote
Miundombinu hurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii Jamii inahitaji miundombinu bora ya barabara, maji, umeme, reli, hospitali, shule nk. Serikali imejitahidi sana kujenga miundombinu ya kutolea...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Upvote 1
2 Votes
Kama raia wa Tanzania mwenye kipato cha kawaida au cha chini, kumiliki ardhi au nyumba ni mtihani mgumu unao hitaji maarifa mengi na hesabu kali. Kadri siku zinavyo zidi kusonga, bei ya ardhi...
1 Reactions
0 Replies
444 Views
Upvote 2
2 Votes
MTANZANIA MWENYE TANZANIA TUITAKAYO Je, ni nani mwenye Tanzania tuitakayo? Ndugu msomaji, natamani tuzungumzie kwa pamoja suala la Tanzania tuitakayo. Leo hii utakubaliana na mimi kuna...
1 Reactions
0 Replies
275 Views
Upvote 2
5 Votes
Ili Tanzania ya sasa na ijayo iweze kukabiliana na kuondoa tatizo la kuporomoka kwa thamani ya shilingi na uchumi kwa ujumla pamoja uhaba wa fedha za kigeni, ni vema sisi kama Tanzania tuchague...
1 Reactions
1 Replies
200 Views
Upvote 5
3 Votes
Tanzania ni moja ya nchi ambayo haiwezi kukwepa matumizi ya sayansi na teknolojia katika kuendeleza uchumi wake. Taasisi za umma zinaongoza kwa kuwa na huduma isiyoridhisha kwa upande wa...
1 Reactions
1 Replies
265 Views
Upvote 3
1 Vote
Kufikia Tanzania tuitakayo ni lazima kuhakikisha kuwa Vyanzo vikuu vya maji vinatunzwa na kulindwa ipasavyo kwakuwa Nchi inaweza kuweka malengo pamoja na mipango madhubuti kabisa lakini bila...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Upvote 1
0 Votes
Kwanini Mimi rafiki yake Sisi? 1. Kuielimisha na kujenga jamii nzima(sisi) Ni lazima ianze na mtu mmoja mmoja(Mimi) 2. Hatuwezi kuwa na jamii ya werevu ikiwa Kila mtu ni mjinga. Tunahitajika...
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Upvote 0
5 Votes
Naam. Ni wasaa mwingine ambao tupo kusoma dira vizuri ili tusipotee katika mwelekeo wa safari yetu kuitafuta TANZANIA Bora Zaidi. Bila kupoteza muda niende Moja Kwa moja nikibainisha wazi ya...
1 Reactions
1 Replies
272 Views
Upvote 5
Back
Top Bottom