Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

3 Votes
Suala la ajira limekuwa ni janga katika nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Tanzania kila mwaka wanahitimu wasomi wengi wa fani tofauti tofauti lakini wanaopata ajira serikalini na sekta binafsi ni...
2 Reactions
0 Replies
338 Views
Upvote 3
1 Vote
I had been waiting for so long since morning, I was very eager to meet him for the first time since I knew him on the social networks a couple of months ago. He then appeared with a bright smile...
1 Reactions
0 Replies
383 Views
Upvote 1
3 Votes
Kuimarisha Mifumo ya Kisheria. Awali, serikali ya Tanzania iimarishe na kupanua mifumo yake ya kisheria ili kukuza usawa wa kijinsia katika ushiriki wa kisiasa. Ingawa asilimia 30 ya sasa ya...
1 Reactions
0 Replies
307 Views
Upvote 3
1 Vote
Naandika maneno haya nikiwa kwenye maumivu makali Sana. Nimempoteza mtu wa muhimu sababu ya PF3. PF3 Ni kiungo gani kwenye afya ya binadamu!!?? Natamani makala yangu isomwe na nchi nzima Kisha...
0 Reactions
0 Replies
356 Views
Upvote 1
1 Vote
Elimu na teknolojia ni misingi muhimu katika kuleta maendeleo endelevu katika taifa lolote. Katika muktadha wa Tanzania, uwekezaji katika elimu kwa kutumia teknolojia unaweza kuwa kichocheo...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Upvote 1
1 Vote
KUJITEGEMEA KWA NAFASI ZA AJIRA ZINAZOPATIKANA KUTOKEA KWA WATUMISHI WALIOSTAAFUU NA WALIOFARIKI. Kupata kazi au ajira baada ya kumaliza masomo imekuwa ni ndoto ya kila msomi, lakini katika karne...
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Upvote 1
1 Vote
Huu ni mradi bunifu wa kuitangaza Tanzania kwa njia ya vitabu, kwamba vitabu vinavyohusu hadithi na matukio ya kitalii, vivutio, wanyama pekee, picha za maeneo ya kitalii vitakuwa katika simulizi...
0 Reactions
1 Replies
316 Views
Upvote 1
1 Vote
TANZANIA TUITAKAYO KUTANGAZA UTALII KWA NJIA YA KADI. Huu ni ubunifu wangu kwenda sekta ya utalii Tanzania kwa kutumia kadi ya mwaliko, Je kadi mwaliko ni nini? Ni kadi maalum itayotolewa au...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Upvote 1
3 Votes
Toka mtandaoni UTANGULIZI Nchini Tanzania, Swala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, wala kutumia nguvu kubwa katka kunadi sera za elimu pekee bali tunahitaji kufanya mchunganuo na...
1 Reactions
0 Replies
379 Views
Upvote 3
1 Vote
UTANGULIZI. Ubinifu wa teknolojia umeendelea kushika kasi dunia huku gunduzi za teknojia mbalimbali zikigunduliwa kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo mawasiliano, elimu, afya, usafiri za uzalishaji...
0 Reactions
0 Replies
403 Views
Upvote 1
1 Vote
HALI ILIVYO NA MAMBO YA KUANGAZIA: Bado kuna ombwe kubwa la kutofautiana katika ujuzi na maarifa miongoni mwa baadhi ya wahitimu wa vyuo tofauti waliosomea shahada zinazoshabihiana. Aidha...
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Upvote 1
0 Votes
TANZANIA TUITAKAYO Niingie katika lengo la andiko langu moja kwa moja; Katika jamii yetu na Taifa kwa Ujumla, kumekuwepo Malalamiko mengi juu ya Akina Mama Wajawazito pindi waendapo kujifungua...
0 Reactions
0 Replies
225 Views
Upvote 0
3 Votes
MIPANGO MINNE YA MAENDELEO YA KIUCHUMI TANZANIA. Je! Uchumi wa Tanzania wa sasa unafanana na ule wa Tanzania ya mwaka 2015? Jibu ni HAPANA! Hivi sasa ni mwaka 2024, kwenye kalenda ya serikali...
3 Reactions
1 Replies
227 Views
Upvote 3
0 Votes
Uongozi wa Edeni Rushwa kama upepo wa kusi, inavuma kwa kasi, Inakita mizizi kila kona, inaibomoa Edeni, Kila mtaa kila kijiji, maendeleo yanabuma, Watu wanasaga meno na kulia, haki haipatikani...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Upvote 0
1 Vote
Hivi karibuni (Mwezi Juni 2024) wakati Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania, Tulia Ackson akitangaza maamuziya kumsimamisha Mbunge Luhaga Mbinakushiriki vikao 15 vya Bunge pamoja...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Upvote 1
1 Vote
UTANGULIZI Kumekuwa na changamoto nyingi zinazo wakabili vinaja wabunifu nchi nifurahi kuleta wazo hili kwa mara ya kwanza kama mtu ninayependa kushauriana nawe katika maana ya kuleta maendeleo...
1 Reactions
0 Replies
392 Views
Upvote 1
1 Vote
Kupata kazi ni haki ya kila raia mwenye sifa STAHIKI kwa miongozo ya kitaifa na kimataifa. Sifa kubwa ni kuhitimu katika fani inayotakiwa sokoni kutoka kwenye vyuo vinavyotambulika na mamlaka za...
1 Reactions
0 Replies
551 Views
Upvote 1
1 Vote
Huu ni mradi bunifu wa kuitangaza Tanzania kwa njia ya vitabu, kwamba vitabu vinavyohusu hadithi na matukio ya kitalii, vivutio, wanyama pekee, picha za maeneo ya kitalii vitakuwa katika simulizi...
0 Reactions
0 Replies
335 Views
Upvote 1
1 Vote
Nchi yetu Tanzania, ni fahari ya Watanzania, Lazima tujue mipaka, na tusifanye mzaha, Siasa iwe njia, njia ya kuleta ufanisi, Lakini taaluma iheshimike, na isiburuzwe na siasa. Uongozi bora ni...
0 Reactions
0 Replies
288 Views
Upvote 1
4 Votes
Bila mapinduzi ya elimu, Tanzania tuitakayo ni ndoto ya mchana Yapo mengi ninayoyataka nchini kwetu lakini, hatimaye, Tanzania tuitakayo itajengwa na watoto na vijana wetu na waitakayo wao. Na...
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom