Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Ni hilo tu. Chaguo sahihi, ni mafanikio. Ukikosea, majuto boda wako.
1 Reactions
16 Replies
455 Views
Ngono si mapenzi, kwenda kwenye miadi si mapenzi, kuzungumza na mtu kila wakati si mapenzi, wala kukesha usiku kucha kwa ajili ya mtu si mapenzi.Mapenzi ni pale mtu anapokuona kwa udhaifu wako...
0 Reactions
1 Replies
150 Views
1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea) 2. Anayeamini uchawi (mshirikina) 3. Mwanamke anayependa hela kama ATM Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Mapenzi ndo darasa pekee binadamu huingia na roho nzuri, lakini anatoka katili. Kwa nini? Mwalimu ndo hafai? Tena wengine unafundishwa na uchawi kabisa.
0 Reactions
1 Replies
98 Views
Tukiwa Single, hamtutaki. Tukishapata mtu, mnatutext hata usiku ili tushikwe tuwe tena ma single. Mna nini? Nda yale ya yule mnyama anaetambua umhimu wa mkia unapokuwa umekatika!!!
0 Reactions
1 Replies
126 Views
Nani anabisha? Mme hukumu ya miaka 20. Mke anawaza aolewe,abaki amlelee mfungwa?! Mfungwa nae anawaza watoto wake wataenda wapi! Mwenake ataoa/kuolewa? Ataenda na watoto, je siku akitoka...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Mwanamke ndio kiumbe pekee ambaye kitu anachokitaka leo hakitaki kesho Kitu anachokipenda leo hakipendi kesho na mbaya zaidi anaweza kurudi kwenye vitu vile vile ambavyo alisema havipendi...
0 Reactions
1 Replies
368 Views
Bunge la serikali ya Rwanda, lipo katika hatua za mwisho kutia saini sheria inayomruhusu mtoto wa miaka 15 kupata huduma ya uzazi wa mpango bila wazazi wake kushilikishwa. Je, ikiwa bunge...
1 Reactions
3 Replies
232 Views
Mara nyingi utaonekana kama msumbufu au mkorofi pale unapoweka mipaka na kutoruhusu watu kukufanyia wanavyotaka
1 Reactions
6 Replies
183 Views
Mambo yote watu wanayohusisha ndoa na Mungu yanatoka wapi? Alieandika amri 10, kama hakusahau kuhusu ndoa, ni kwamba ni jambo lisilo na umhimu. Mungu aliacha zivurugike makusudikali.
1 Reactions
3 Replies
194 Views
Kila mtu siku zote hujiuliza lipi afanye, ili aweze kufikia walipo wale anaowachukulia kama mifano ya kuigwa(role models). Kila mtu hujiuliza siri ya mafanikio yao kupata walicho nacho, au...
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Hivi, swali hili linalenga sana wanaume. Ukimkataa mtoto, na mwisho wa siku mahakama inaamuru kipimo cha DNA kifanyike, mtoto anakutwa wa kwako, akikuwa, utamueleza nini?
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Mwanaume, unakaa na mwanamke, unamzalisha, umri unamtupa nachakaa, unamuona wa nini, unamkimbia na kila kitu. Jamani, mtu kama humtaki, na umekaa ukafikilia ukaona hafai kuwa tena mkeo, kumbuka...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Wapenzi wa Iphone, ina nini kinachozidi Android?
0 Reactions
1 Replies
143 Views
Wanawake kumbukeni. Mnavyolingaga kama hawachuji. Kila kukicha siku zinapungua, ngozi inasinyaa, kasura kanakolipa, sijui labda nyie mna maelezo.
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Back
Top Bottom