SIKATAI niko kuwa nimeolewa..
Lakini, kuna haka kashikaji kamehamia majuzi, ni moto wa kuotea mbali.
Kajinga kashanichanganya hadi nikaamuwa nimdanganye mme wangu kuwa naenda kumuona dada...
MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi...
Nchini Kenya, umri wa kuruhusiwa kunywa pombe, umetoka 18 hadi 21.
Nchini Rwanda, baa na maeneo mengine, japo umri ni miaka 18, lakini masaa yamepunguzwa. Muda elekezi ni kutoka saa kumi jioni...
Rwanda, pamoja na nchi nyingine za Afrika mashariki, hasa Kenya na Uganda, zimeiomba Tanzania kuhakikisha inafuata utaratibu uliowekwa na nchi wanachama, kurahisisha shughuri za kiuchumi kati ya...
French media giant Canal+ has officially acquired MultiChoice Group in a landmark $3 billion deal.
This move gives Canal+ full control over popular African pay-TV platforms DStv and GOtv, as well...
Kutokana na kinachoonekana kuwa matumizi mabaya ya ardhi, huku nchi hii ikikabiliwa na ongezeko kubwa la raia, matumizi ya ardhi hasa kuhusu ujenzi, serikali imelazimika kusitisha utoaji wa vibali...
WALLET YA KIJANA WA MAREKANI
1:Visa Card
2:Driving License
3:Hela ya matumizi
WALLET YA KIJANA WA TANZANIA
1:ATM card ya NMB
2:ATM card CRDB
3:Kitambulisho cha Taifa
4:Leseni
5:Kadi ya mpiga kura...
You dump a man because he cheated,and you went to a man who was dumped because of his cheating and then you claim you moved on...Moved on to where?...My sister this is what we call cross...
Katika zoezi la kuwapa kipaumbele wazawa, Tanzania imefikia uamzi wa kuondoa leseni za waliokuwa wanafanya shughuli ndogo ndogo za kiuchumi.
Je, utaratibu huu, unawanufaisha kweli wazawa? Kama na...
Sawa, pamoja na kwamba ni makauzu, laikini kufikia hatua hii, ni kubisha hodi mwenyewe mjengo wa wahalifu.
Watoto wakimuona mama yao hivi, jiandae wakikuwa utakipata cha mtema kuni.
MWANAUME kamwe usiombe ukakosa pesa au kazi au ukayumba kiuchumi kipindi ambacho ulijawa jeuri na kiburi kwa mke wako kisa mali alizo kukuta nazo au mlizo chuma pamoja.
Rafiki yangu kumbuka...
Joseph Kabila, baada ya kuondolewa kinga na Bunge na seneti ya nchi yake, leo hii kesi yake imeanza mahakamani. Anakabiliwa na tuhuma za usaliti, na kuwa mmoja wa waasi, ambao ni kundi la AFC/M23...
Wanaume wengi bado wanaishi kama watoto yatima....
Wanatoa kwa kila mtu lakini hakuna anayewapa wao kitu.
Wanalipa bills zote, kodi zote, wanakuwepo katika kila janga, wanalinda familia n.k...