Habari zenu wakuu. Nahitaji kijana wa kuuza chips. Awe anaishi maeneo ya mbagala na ajue kazi vizuri. biashara ndo kwanza inaanza. Malipo ni maelewano. Atakayehitaji ani PM ntampa maelekezo
Habari wanajamiiforums
Mimi ni kjana wa kiume, ninatafuta kazi ya ufamasia popote hospitali au kiwandani kwahiyo naombeni msaada wenu kwa mwenye taarifa yoyote ya ajira kwenye nyanja hiyo.
Asanteni
Naomba ushauri wanajamvi!!!! nimefanya kazi kampuni fulani kwa miaka 3, malipo ya mshahara walikuwa wanalipa wanavyo jisikia, nilivumilia sana mpaka ikatimia miaka hyo, baada ya hapo niliamua...
Habari wanajamvini asubuh hii nmepa e-mail kutoka rifa co ltd yakuitwa interview tar 22/9/2016.
Lakini wamedai nitume sh 16500 kupitia airtel na namba yao wameweka pale. Sasa naomba ushaur wenu...
Dada angu ana umri w miak 20,Elim yake kidato cha nne, alisomea computer na alifanya kazi steshenal mwak 1 ,kwa sasa yupo dar tandika anaweza kufanya kazi yeyote ila isiwe y kumshushia heshima...
Nimejiajili kwa kutafutia watu wanaohitaji wafanyakazi wa ndani ali maarufu kama ma house girl, wasifu wao ni wachapa kazi wazuri bei yakuwalipa ni maelewano ila isiwe Chini ya elfu 30 na gharama...
Habari, mimi ni msichana wa umri wa miaka 29, nina shahada ya maendeleo ya jamii. Ni mwaka wa 4 sijapata kazi, kutokana na ugumu wa kupata kazi na ukosefu wa mtaji naomba mtu yoyote mwenye uwezo...
Habari ndugu zanguni......
Mimi n binti wa miaka 21. Naishi dar es laam.
Najitokeza kwenu kuomba kazi yoyote inayoendana na elimu yangu.
Nmemaliza kidato cha nne na nmesoma computer basic...
WAKUU!
Ajira sasa hv ni kama dhaabu iliyofichwa na inatafutwa na watu hile mbaya, ukisikia hiko huku!! watu wanahaa vibaya.
sasa hata kama tunakata tamaa lakini tunajikuta tunaendelea kuziulizia...
Hi!!
I have earned $75 dollars last month from this captcha typing site(www.megatypers.com) it is genuine site to earn pocket money. Use this invitation code for better earnings, Choose any...
Naitwa Gabriel...ninaishi morogoro mjini..natafuta kazi yoyote ile halali...sehemu yoyote ile lakini ningependa zaidi kama ikiwa hapahapa Moro..elimu yangu ni kidato cha nne (division...
Habari kwa jina naitwa anderson ninaishi jijini mbeya elimu yangu ni ya kidato cha nne na nina stahashada na nina certificate pia level ya procurement and supply manangement .
Ni kijana...
JOB TITLE: OFFICE SECRETARY
QUALIFICATIONS
· Must have at least a certificate in secretarial and office management
· Should speak fluent English and Swahili
· Must have...
Habari,
Nimehitimu masomo ya maabara kwa level ya diploma katika chuo kimoja hapa Dar es salaam.
Nimetokea kupenda sana hii kazi ya Mortuary Attendant ila nashindwa kujua nianzie wapi kutimiza...
An Economics lecturer is needed to lecture in St. Augustine University of Tanzania - Arusha. Should have scored a GPA of 4.0 in masters and a GPA of 3.8 in bachelors.
Send your applications to...
Wadau habari za kwenu.
Najua ajira imekua ngumu na zaidi pia haijulikani siku wala saa kwamba hizo.ajira zitaachiwa lini, sasa nmeona kuna kazi DUBAI za kufanya kazi katika hoteli kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.