Je, naweza kupiga picha vyeti vyangu kwa kutumia simu yangu na nikavi atach na barua yangu ya maombi ya kazi kwenye mtandao? Au simu inaweza kutumika kufanya application au ni lazima nitumie compyuta?
kwanza natanguliza pole kwa masaibu yanayowakuta watanzania wenzangu hasa baada ya kusitishiwa ajira zetu, ili kupisha zoezi la kuhakiki watumishi hewa
tunaitaji kufungua group kwa upande wa...
habari zenu wakuu ninaomba msaada kwa waliopo mwanza nahitaji volunteer kwenye kampuni yeyote iliyopo mwanza inayojihusha na mambo ya gis/remote sensing.niko vizuri katika kufanya image processing...
Habari. Natumaini wazima wa afya.
Ninatafuta mwalimu ambae anafundisha kindergaten au ndoto yake ni kufundisha kindergaten tu. Karibu PM tafadhali. Jinsia awe mwanamke.
Asante.
wadau natumai ni wazima wa afya..
Nimeitwa kwe interview hili shirika la kimataifa, je interview zao zikoje?
pia ntashkuru kwa anayefahamu vizuri jinsi walivyo anipe maujanja .
Habari za majukumu wana JF,Natumaini mu wazima
mimi ni kajana wa kiume niko chuo kikuu katika kozi ya bachelor degree in mechanical engineering ,baada ya kumaliza mafunzo kwa vitendo yani...
See, the truth is that not everyone will secure a white collar job!!! In fact, majority of Tanzanian graduates willing to work will never find a job. I am not cursing you pls...but I am being real...
Urgently Looking Graphic & Web designer. Able to use well Adobe suite especially Photoshop, illustrator, Flash and Dreamweaver. To have extensive knowledge on JAVA, PHP and HTLM. Salary 500,000+...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume muaminifu, mtaratibu na mchapakazi nina bachelor degree of science in food science and technology, natafuta kazi na nipo tayari kufanya kazi sehemu...
Hi folk!
Its my hope that your constitutions are all the way good and you are proceeding well building Tanzania.
I am a teacher, a pursuant and specialist of ICT and Geography subjects I hereby...
habar zenu wadau kuna ngo moja inaitwa heifer international walikuwa wanahitaji project accountant mwenye info anijuze kama walishaita watu kwa ajili ya interview.
naomba kuwasilisha
Awe na Miaka 18 hadi 25 awe form 4 kuendelea,ajue kuongea kiingereza na kiswahili. Ajue kufanya miamala ya fedha benk.Ajue kutumia compyuta.awe muaminifu.awe anajua lugha ya kuvutia biashara Awe...
Nimemaliza chuo mwaka 2015 degree course wildlife mgt. Bahati mbaya sijafanikiwa kujiajiri/kuajiriwa.Nimeapply sana kwenye ma college ya tourism na wildlife_hakuna kitu.sambaza cv NGOs na...
Habari,
Kwa yeyote unayehitaji kisima cha
kuchimbwa kwa mkono(hand_dug wells)
kwa shughuli za kilimo au matumizi ya
nyumbani n.k usisite kututafuta,tupo
Dar es Salaam na Pwani.
Huduma zetu ni bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.