Pande zote nchi nzima tumekuwa tukisumbuka juu ya hili janga la ajira nchini! Kiukweli kabisa hili ni tatizo kubwa na wahanga wa hili tatizo ni wengi sana! Lakini tumekuwa tukisema kazi hazipo! Mi...
salam wana jamii..natafuta college ya kufundisha masomo Haya;
1.economics
2.statistics
3.basic mathematics
4.business research.
Nina degree ya Economics and Statistics.
Wanajamiiforums nina bachelor ya ICT, natafuta kazi yoyote hata ya kufundisha vyuo vya diploma na certificate katika masomo yafuatayo.
1.Database design&administration(mysql&oracle)
2. Web...
Guys wale waliofanya interview chuo cha ardhi tayari wameanza kuita kazin, mi nimeitwa kesho ndo naenda kuripoti...nawashukuru sana wa jamii forum kwa ushirikiano wenu
Salam wanajamii, Nina degree ya economics and statistics na nina uzoefu sana kwenye upande ufatao;
1.Kutumia excel
2.Kuingiza data kwenyeSPSS na kuzifanyia analysis
3.Kuandika research...
Salaam waungwana wa jamvi hili.
Naomba kusaidiwa mawasiliano na mashirika au hata watu binafsi ambao wanaopokea na kufadhili tafiti mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Ahsante
Tunatafuta tenda mbalimbali katika makampuni, ngo,mashule na taasisi mbalimbali na kussuply vitu vya aina mbalimbali kama stationary and office equipments, t.shirt,id printing and business card...
TUNATAFUTA TENDA MBALIMBALI KATIKA MAKAMPUNI, NGO,MASHULE NA TAASISI MBALIMBALI NA KUSSUPLY VITU VYA AINA MBALIMBALI KAMA STATIONARY AND OFFICE EQUIPMENTS, T.SHIRT,ID PRINTING AND BUSINESS CARD...
Tunatafuta supplier kwa ajili ya kusuplly products kwenye restaurants zetu ambazo zipo masaki na mlimani city..
Tutaanza na products moja ya PICKLES:
Picha yake hii hapa kwa asiyeijua.. Then...
Habari zenu wakuu! Napenda kuuliza kwa wenye uzoefu na haya mambo! Cheque namba imetoka tarehe 07.08 ni mwajiriwa upya,je uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi huu wa nane upo? Nawasilisha
Dear Applicant, Ref: Call for Training Registration and Participation Confirmation Stage
On behalf of our organization, I am obliged to inform you that after desk review of your cv and...
GlaxoSmithKline Jobs - Tanzanians - 8/12/2014
Career Opportunity Medical RepresentativesGSK is one of the world's leading research-based pharmaceutical and healthcare companies.
We research...
Wadau ningependa kufahamu
Kama muajiri kakakuachisha kazi kwa sababu kama Cost reduction stratergy, Je unastahili mafao gani
Note:
Sio kufukuzwa kazi ni kupunguzwa kutokana na gharama kubwa za...
Hello Tanzanians!
Tanzania Mainland has been granted support from the Global Partnership for Education (GPE) for the period 2014/15-2016/17 to support implementation of the Primary Education...
. .jamaani mimi ni Pharmacit Techn . .nina tafuta kazi yeyote itakayo ifanya ndani ya miezi 2 . .7bu bado ni mwanafunzi nipo likizo . .plz en plz . .help me thrgh . .+255 657 359 544 . .!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.