habari zenu wakuu ..mimi nimehitimu masomo yangu mwaka jana ila bado sijapata ajira na hali ya maisha nyumbani kwetu ni tete sasa nilipata wazo la kuwa na plan A NA plan B YAANI NITAFUTE KAZI NA...
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ALAZIMISHWA KUREKODI MKANDA WA NGONO
Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe chafu...
Wakuu heshima kwenu, nina ndugu yangu amemaliza diploma ya maendeleo ya jamii mwaka huu na hivi sasa yuko kijijini.Hivi karibuni aliniambia kuwa amesikia (kwa wenzake) kuwa nafasi za ajira za...
Habarini wana jamvi, poleni kwa mliokumbwa na unyama wa TPDC.
Kwenu wakuu wa kazi TPDC ni dhahiri mlikusudia mliyoyafanya kwa wanyonge wananchi.
Nikiwa kama mmoja wao nimehuzunishwa na the way...
Kuna ugonjwa huu umeingia kwa vijana kushinda JF na Facebook wakijifanya wanasiasa wakitukana na kukejeli wakubwa,,, wakilalamikia ajira nchini hakuna (ni kweli) lakini nigewaomba kitu kimoja...
Natambua kuwa kuna vijana wengi sana ambao wamemaliza masomo yao lakini bado hawajapata ajira na wanatamani ipo siku watapata ajira. Pamoja na juhudi wanazozifanya, naomba nisiwe mchoyo wa mawazo...
Heshima zenu wakuu. mimi nipo dar maeneo ya ubungo na nina jenereta langu aina ya tiger saiz ya kati imegoma kabisa kuwaka na tangu niinunue ina miez minne tu. kwa iyo naomba mnielekeze sehem...
guys natakiwa kwenye final interviews its all about excel , i will be given computer and excel sheet with questions , pls nipen ma formula na techniques wadau, nimetumia excel ofcn for more thn...
Habarini wakuu nilikua na shemeji yangu alikua anahangaika kutafuta kazi kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka miwili lakini mwaka huu mwezi february aliitwa kwenye usaili na hivi juzi kapigiwa simu...
Habari zenu,nimebahatika kuitwa kwa ajili ya interview kampuni inaitwa Keys marketing ila siijui malipo yake na utendaji kazi wake ukoje, kwa yeyote anaeijua naomba anisaidie kunifahamisha.
Habari zenu wana jamvi natafuta mtu mwenye sifa tajwa hapo juu. Nitafurahi kama atakuwa mwandishi wa habari au ata kama anaweza kufanya kazi hizo hapo.
MASHARTI.
1. AJI KUAJIRIWA ILA...
Mimi ni kijana,mwanafunzi katika moja ya vyuo vya afya hapa nchini.Naomba kwa yoyote mwenye nafasi ya kazi aniajiri niifanye kwa muda huu wa likizo wa miezi miwili
Ninaweza
1:Kufundisha kidato...
Napenda sana kujiunga na jeshi la police.Nikiwa chuo 2013 nilijaza form lakini sikuitwa kwa sasa niko mtaani form za kujiunga zimetoka kwa wahitim tu.Je tulioko mtaani na tunamoyo wa uzalendo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.