Location: Jersey City, NJ
Contract: 1+ year
Rate: OPEN!!!!
W2 ONLY- NO CORPS OR THIRD PARTIES
Sr. Security Analyst
Please reach out with resumes and manager references if interested.
·...
natafuta vijana wenye bidii na uwezo wa kujiongoza watoke mkoa wa mwanza shughuli ni utembezaji wa mikoba na vitenge malipo ni per day aliye tayari ani pm
Habari zenu wana jamvi, mm ni kijana kutoka zanzibar, hii kampuni wamenipigia simu kwmba wananihitaji cku ya jmosi kwa ajili ya kufanya interview, naomba kwa anaefahamu hii kampuni anipe ushauri...
Mimi ni mhitimu wa chuo cha kilimo ngazi ya cheti, natafuta ajira ya muda, naomba kwa yeyote atakayeguswa anifahamishe kupitia nambari yangu 0762001136.
AHSANTE
Tembelea www.recruitme.co.tz kwa kutumia simu yako ya mkononi au kompyuta
1. Fungua palipo andikwa Register/Upload your CV
2. Ingiza Email yako au Namba yako ya simu ya mkononi
3...
Naitwa mwalimu James Mbonde. Kuna Shemeji zangu NEEMA Na zulfa wako tayari kufanya kazi za ndani popote. Wapo hombolo Dodoma kwa mawasiliano call 0689710292
Salaam,
Tunahitaji Vijana waaminifu, mahili, makini na wenye moyo wa kupenda kujifunza na kuchapa kazi katika mazingira yeyote.
KAZI ZA KUFANYA;
Watafanya kazi za kutafuta masoko katika maeneo...
Ndugu wanajamvi mm ni mwalimu ajira mpya nimeripoti tarehe 3/5/2015 hapa kituoni na tangu kipindi hicho mpaka sasa sijapokea mshahara nifanyeje?
Naombeni ushauri!
Habarini wadau,ninaomba kupewa uelekeo kwa wenye uzoefu huu,kama ninakwenda mkoani geita kutokea mikoa ya kaskazn hususani Arusha kwa mabasi ni njia gani wanatumia,na naul ni sh.ngapi?Tafadhali
Jamani kuna huyo ndugu yangu namleta kwenu kwa sifa tajwa hapo juu na kwa kuongezea anayo leseni,anatafuta kazi ya udereva magari yeyote anaendesha,hvo ukiwa wewe mwenyewe rafiki,ndugu yako au...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT'S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref. Na EA.7/96/01/G/69
23nd SEPTEMBER, 2015
VACANCY ANNOUCEMENT
On behalf of the DAR Rapid Transit...
Habari wanajamii Leo nimepigiwa simu ya kuitwa kwenye usaili wa nafasi ya Mail room pale US embassy hivyo naomba mwenye ushauri au uelewa wa maswali yanayoulizwa anijuze tafadhali
Jana jumatatu SAA kumi na moja jioni nilipigiwa simu na mtu wa LAPF kuwa natakiwa kuhudhuria interview Dodoma jumatano tareh 16/09 saa tano asbuhi.sasa maswali ya kujiuliza:
1.hivi mtu huko Dar...
Nimekuta tangazo la kazi mahali. Nimewapigia via namba ya simu moja wapo walioiandika kwenye tangazo. Nimepiga simu akapokea mdada. Akaniuliza 'umeona wapi tangazo letu'? Nikamtajia. Akaniuliza...
TANGAZO LA KAZI
Mkurugenzi wa Halmashaya Maji wa Bariadi anatangaza nafasi za kazi themanini na moja (81). Maombi ya kujaza nafasi tajwa hapa chini yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote...
Jamani naomba kujua anebadilisha kazi kwa mwajiriwa wa halmashauri ni nani ?
Mfano mi nilikua mwalimu msingi, nikienda masomoni degree ya education management, nimerud but kazi ya kufundisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.