Kwako mliki wa Jamiiforums. Mimi ni kijana wako wa kitanzania. Miaka yangu ni 24. Elimu yangu ni darasa la saba. Niliwahi kuleta uzi hapa Jamiiforums kuomba kazi ya kuchora katuni kwenye gazeti...
Habari Ndugu zangu,
Nahitaji msaada wenu juu ya taasisi hii, Mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi 'Voters and Civic Field Education Officer' lakini ametumiwa email kuwa amekosa nafasi, pia...
Anahitajika Haraka Afisa Masoko Mwenye uzoefu na kazi usiopungua miaka miwili, angalau awe na Diploma ya Masoko na kuongea kingereza vizuri.
Umri wa waombaji usizidi miaka 30
Wasichana watapewa...
Wakuu naomba kwa anayefaham chuo cha MOUNT UKOMBOZI KILICHOPO DAR ES SALAAM ANIJUZE,vp kuhusu ubora wake,na vp baada ya kumaliza hapo kama naweza kupata ajira
A.alaykum wadau wenzangu wa forum hii,
Binafsi roho inaniuma saana pale navyoona wadau wakitapeliwa na wangine bila kufahamu kuwa wanatapeliwa
Nilikua muhanga wa kutokua na ajira kwa mwaka 1 tangu...
Wadau habarini mm ni mtanzania ninampango wa kwenda kupiga box ughaibuni sasa naombeni ushauri nchi sahihi ya kwenda na jinsi ya kupata kazi kirahisi.nawakilisha
habar za humu, wanajamvi
MIMI NILIKUWA MWALIMU WA DIPLOMA NILIAJIRIWA NA SERIKALINI, LAKINI MWAKA 2009 NILIAMUA KWENDA CHUO KUSOMA KOZI NYINGINE YA UHASIBU,NIKAMALIZA 2012, SASA NINETAFUTA KAXI...
PECO ltd , is aprivate company located at kinondoni dar es salaam, it deals with electronic services, importation and sales in Tanzania, the company is seeking for an employees to cover the...
Anahitajika msichana wa kazi ya stationery haraka.
Awe na ujuzi wa
1. Computer application, that is; word 2007, Excel 2007 and Publisher
2. Photocopy Machine application. Photocopying...
Naitwa Paul Mohamed, Nimehitimu Bacholor Of Science in Biology (BSC. Biology) Chuo Kikuu Dodoma mwaka 2013. Nimejaribu kuhangaika kutafuta ajira lakini jitihada zangu zimegonga mwamba. Nimepata...
Mwl Jenipher wa Irikisongo sec Arusha anatafuta mwl wa kubadilishana nae anefanya kazi mwanza ili yeye aje mwanza na uyo mwl aende Arusha piga 0769250246 kumpata
naitwa peter, natafuta kazi upande wa pharmacy, uzoefu na ujuzi ninao wa kutosha sana, najua vizuri sana na kila kitu kinachohusu pharmacy, nipigie simu namba hii +255719902822
Wapendwa mimi ni msichana wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka liwe la nguo, vipodozi au vitu vingne. elimu yangu kidato cha nne naishi mabibo dar-es-salaam. mshahara uwe kwanzia 250,000 kwenda...
mimi ni msichana mwenye degree ya uhasibu katika chuo cha uhasibu tanzania(TIA),GPA 3.2 pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda wa mwaka mmoja,naomba nafasi ya kujitolea ili nipate ujuzi zaidi.Asante
habar zenu,,natafuta kazi ya kujitolea ya uhasibu,nina degree ya uhasibu,na uzoefu wa kaz hii kwa muda wa mwaka mmoja,,napatikana iringa,naombeni msaada wenu
GPa 3.2, chuo TIA.
Tunatafuta kijana wa kike au wa kiume ambae anabidii ya kujiendeleza, muaminifu, sharp, mwenye uwezo wa ku manage kazi tofauti tofauti na kuji manage mwenyewe, awe highly organized.
Huyu atakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.