Nice, selection yao nimeielewa no need of more people wakati nafasi kwenye kada tofauti tofauti ni chache kila la kheir engeneers naona mambo yenu kwa sana mkatafute ugali wa watoto
mining hawajaita
Jaman hawa tanroad Tanga bado hawajaita watu kwenye usail isijekuw wameita mie sijui naomben msaada kwa anayejua web yao plz.