Natafuta kazi, Elimu Kidato cha Nne

Natafuta kazi, Elimu Kidato cha Nne

mchilo

Member
Joined
Sep 14, 2015
Posts
7
Reaction score
1
Wapendwa mimi ni msichana wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka liwe la nguo, vipodozi au vitu vingne. elimu yangu kidato cha nne naishi mabibo dar-es-salaam. mshahara uwe kwanzia 250,000 kwenda juu kulingana na kazi yenyewe , ninalugha nzuri kwa watu wote.
mawasiliano:0654 943 124.
AHSANTENI
 
Wapendwa mimi ni msichana wa miaka 23 natafuta kazi ya kuuza duka liwe la nguo, vipodozi au vitu vingne. elimu yangu kidato cha nne naishi mabibo dar-es-salaam. mshahara uwe kwanzia 250,000 kwenda juu kulingana na kazi yenyewe , ninalugha nzuri kwa watu wote.
mawasiliano:0654 943 124.
AHSANTENI

unaweza kuongea kiingereza na je umewahi uza (unauzoefu)?
 
mmh hpo pagumu maduka meng ya nguo hawawalpi wafanyakaz bli wafanykaz wenyw wanajiongeza kwnye uzaji tu so na wew umeshataja unatka 250k hapo unawakatisha tamaa waajrii,

but wsh u all the best,
 
mmh hpo pagumu maduka meng ya nguo hawawalpi wafanyakaz bli wafanykaz wenyw wanajiongeza kwnye uzaji tu so na wew umeshataja unatka 250k hapo unawakatisha tamaa waajrii,

but wsh u all the best,


nashukuru kwa mchango wako best
 
Back
Top Bottom