1. Process Manager Assista nt Distillery Kilombero Sugar Company Limited, the largest Producer of sugar is inviting a dynamic and result oriented person to fill a vacancy of Process...
Wanajamii tafadhari anaejua center nzuri yenye walimu wazuri wanaofaulisha ACCA professional level hapa Dar es salaa naomba kujulishwa plse na kama mnajua bei zao pia
Ahsanteni
Anaitajika msichana mwenye umri usiopungua miaka 25 na kuondelea wa ofsini kazi yake ni kupokea mteja na kumsikili ni vzr pia kama atakuwa kapitia chuo chochote cha neceng kwa maelezo 0754400495
BD Clinic is a dental clinic of the advanced dentistry located at Masaki Dar es Salaam. BD Clinic is now looking for a Midwife with experience of at least three years.
To apply please send your...
Kwema huko??
Niko pori huu kama mwezi Wa 3 toka nime pangiwa kazi huku. Ila kiukweli maisha ya huku yana niwia ngumu niki linganisha na kiji mshahara hiki nacho kipata.. yani ndio basi tena haki...
Mimi naitwa francis Joshua nko musoma natafuta company ya kufanya nao kazi Nina certificate level kwenye electric installation nimeitimu Chuo 2012 veta Mwanza
Contact zangu ni 0754071881
Kama unahitaji kupata malipo kwa mtandao fungua hii link then fuata maelekezo ni rahisi sana na unaweza usiamni unaweza pata mpaka $1000 Jobrize.com - Earn from Your Home, Earning website for...
Anahitajika mwanasheria aliyesajiliwa TLS, ni Ajira kwenye Shirika la Umma
Interview itafanyika Ijumaa, ajira ni ya permanent and pensionable.
Atakayehitaji taarifa zaidi atume msg kwenye...
Samahani wakuu, kuna kiwanda kipya cha viatilifu kipo kibaha.nilisikia kinahitaji watu zaidi ya 150 kwa ajili ya ajira.tulipeleka cv zetu muda mrefu tangu mwanzoni mwa mwaka huu,sasa sijui...
Kwanza napenda kuwapongeza UTUMISHI kwa kuboresha utaratibu wa kuomba nafasi mbalimbali serikalini.
Lakini ni jambo la kushangaza pale mtu unapoitwa kazini wanasema barua za kupangiwa kituo...
habari wana jf
Nilikuwa naomba msaada kwa mtu aliyefanikisha kuomba kazi TRA maana kila nikiingia hazipo kwenye website yao kama kuna mtu anajuwa njia mbadala ya kuomba anisaidie
Tashukuru...
UNITED NATIONS YOUNG PROFESSIONAL PROGRAMME OPEN TO TANZANIANS!
Umoja wa Mataifa Umetoa nafasi za ajira kufanya kazi kama watumishi katika Secretariat ya UN. Kutakuwa na mitihani ya kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.