TANGAZO LA KAZI
Mkurugenzi wa Halmashaya Maji wa Bariadi anatangaza nafasi za kazi themanini na moja (81). Maombi ya kujaza nafasi tajwa hapa chini yanakaribishwa kutoka kwa mtanzania yeyote...
Jamani naomba kujua anebadilisha kazi kwa mwajiriwa wa halmashauri ni nani ?
Mfano mi nilikua mwalimu msingi, nikienda masomoni degree ya education management, nimerud but kazi ya kufundisha...
habari zenu ndugu zanguni. naomben mnishauri upatikanaji wa ajira kuhus hii course ya law, nataka ni apply mwakani.
vp ntazunguka sana na bahasha au ajira zipo zipo maana nimeskia hii coz kidogo...
Ndugu zangu wana JF,
Mimi nimehitimu Stashahada ya MATUMIZI YA ZANA KATIKA KILIMO (AGRO-MECHANIZATION) toka Chuo cha Kilimo, na bado sijaajiriwa.
Kwaiyo naombeni msaada wenu ili niweze...
Wahudumu wa baa wanahitajika.
Wahudumu wenye uzoefu kazi ya kuhudumia baa ya kisasa wahitajika. Mwombaji awe na angalao elimu ya kidato nne na kuendelea, awe mchangamfu, nathifu na mwenye uwezo...
It is announced that a manager with experience and qualification to manage a new complex of entertainment facility including a modern pub, lounge, night club and a lodge is urgently required. As...
New restaurant is looking for two waitresses or waiters must fluent in English plus basic of hotel management and manage to work out of town .hotel is located outside of arusha town.call 0762 707073
Habari za nelo waungwana japo ucku mwangaruka bankima na bagosha....kama we ni kidato cha nne au cha sita bac magereza hao wameachia nafasi unaapply vp we zama moha.go.tz
Taratibu,
Vigezo,
Weledi,
Uwezo kiutendaji Na mengie
Ya kuzingatia ILI kujinga na HII taasisi vinahitajika.
Mimi NI mpinga rushwa Na mchukia rushwa mkubwa sana.
Nijuzeni utaratibu wa kujiunga...
Wandugu utumishi wametoa hizo nafasi za watendaji wa mtaa daraja la pili. Ninaomba kwa aliyewahi fanya intervieew atunipe baadhi ya maswali au maswali yao yanabase kwenye nyanja gani haswa. Ahsante
Habari wanajamvi. Nilikuwa mwajiriwa wa katika sekta ya elimu kwa muda wa miaka saba then baada ya kujiendeleza nikahamishia ajira yangu kwenye moja ya taasisi za serikali ila sasa nataka kurudi...
Habari zenu wanaJF.. Mimi ni kijana (me) mwenye umri wa miaka 25. Elimu yangu ni kidato cha 6 (PCB).. Nmehitimu mafunzo ya JKT (mujibu wa sheria).. natafuta kazi yoyote ile (kufundsha, kilimo...
Afrika Kusini ni mojawapo ya nchi zilizoendelea kwa sekta ya viwanda duniani. Kwa ninavyofahamu miaka ya nyuma vijana wengi walikuwa wanakwenda tafuta ajira huko. Naomba uliza je kwa sasa nafasi...
Hi wadau,
Muhitimu wa degree natafuta shirika lolote la msaada (hasa linalohusika na mambo ya wanawake au watoto) ninaloweza kufanya kazi za kujitolea.
Tatizo huwa pale ambapo hata unapojaribu...
YOUTH IMPACT FUND INTERNATIONAL TANZANIA
Youth Impact Fund International is an international not for profit Organization with a sole aim to develop and transform Youth as drivers of change and...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nimemaliza elimu ya Secondary mwaka 2012. Mimi ni mchapa kazi na mtiifu sana.Ninatafuta mtu yeyote mwenye kuhitaji kijana wa kazi ya kuuza duka lolote la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.