Nina miezi 3 toka nianze kazi na hii kampuni X ya wazungu wajerumani.
Niko kwenye probabtion ya miezi 6 nalipwa mshahara wa kati tu waku niwezesha kubadili mboga. Nili pata email kua nahitajika...
Poleni na pilika za wiki jana,hatmae tena leo ni wiki mpya muhimu sana kwa watz wnzng kutimza haki yao ya musingi, naomba msaada wenu wanajamvi wnzng tuloomba nafasi za kazi tanroads...
kama kuna walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga wanipe link ya majina ,nimepigiwa simu kwenye daladala sasa sikumbuki tena.
nijulisheni.niliomba post ya it wakasema jumanne ila hata eneo silijui
Huko nyuma nadhani mwezi 1 au miezi 2 hivi niliwahaki kutuma maombi ya kazi mahala na kusema kweli sasa hata sikumbuki ilikuwa ni ofisi au taasisi gani ila leo muda si mrefu nimetoka kupokea kuwa...
mm ni kijana mwenye umri wa miaka 18 natafuta kaz kwenye ofisi au stationary yoyote kwani nina uwezo wa kutumia computer bila wasiwasi kwa makazi napatikana daresalaam contact zangu ni 0717047978...
jaman naomba msaada kuhusu pande hizo mbili,,mimi nimehitimu shahada ya uhasibu,lkn kutokana na tatizo la ajira nimefikilia kwenda ualimu,,ualimu wa diploma masomo ya sayans wanatoa mkopo,ila...
The computer Training Skills (Comskills) is the registered company,provides Consulting Services and Training in Tanzania. We specialize in Short & Professional Training Course and Customized...
Kazi kwa anayehitaji
Kazi: Kuendesha na kusimamia biashara.
Bidhaa zinazouzwa: Mojawapo ya bidhaa za chakula kutoka shambani
Uuzaji: Kwa jumla na reja reja
Eneo la biashara: Gongo la mboto...
Job Description:
SimGas Ltd is looking for Business Development interns to join the SimGas team. The role will be responsible for providing support in the creation and execution of business...
Anahitajika dereva wa bodaboda wa kike au wa kiume kwa maeneo ya dar es salaam. Sifa za mwombaji awe na familia ( yaani asiwe single), awe na leseni, pia awe timamu kiakili. Kwa maelezo zaidi...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/81 15 Oktoba, 2015
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika...
Kwa wale ambao tulifanya usaili (written interview) pale Ardhi University siku ya j4 tarehe 13 vp bado hawajatoa majina waliyopita kwenda second round ambayo ni Oral interview yeyote ambaye ana...
Kwa nilichokiona kwenye huu mtihani naona mtunzi alikua na lengo la kutukomoa tulioitwa kwa usaili.
Kuanzia swali la kwanza mpaka la mwisho hakuna penye unafuu.Kwa staili hii kweli watoto...
Habari za usiku ndugu zangu.
Kuna kazi niliomba majibu yametoka kuwa nime kuwa shortlisted ila nijaze fomu flani wamenituma kisha niambatanishe na General Intelligence aptitude (GIA) test...
Mbeya Water Supply and Sanitation Authority (Mbeya WSSA) is now inviting applications from suitably qualified and self-motivated Tanzanians of high personal integrity to apply for the following...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.