Nafasi ya Kazi kwa walioko Dar

Nafasi ya Kazi kwa walioko Dar

Mtafiti Madini

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
101
Reaction score
38
Kazi kwa anayehitaji

Kazi: Kuendesha na kusimamia biashara.
Bidhaa zinazouzwa: Mojawapo ya bidhaa za chakula kutoka shambani
Uuzaji: Kwa jumla na reja reja
Eneo la biashara: Gongo la mboto.
Mshahara: Posho ya 300,000Tshs kwa mwezi + Bonas kulingana na utendaji mzuri na mwenendo wa biashara.

Sifa za mwombaji:
1.Wanaume watapewa kipaumbele, wanawake watafikiriwa
2.Kama ni mwanamke usiwe na mtoto mchanga
3.Mwombaji awe ni mchapakazi na anayejituma.
4.Awe na "Customer service" nzuri na uwezo wa kushawishi wateja.
5.Awe na uaminifu wa hali ya juu.
6.Awe mbunifu.
7.Awe anaishi mahali ambapo anaweza kufika eneo la kazi bila shida.
8.Awe tayari kusafiri ikibidi
9.Asiwe bishoo.

Kama unafikiri unahitaji kazi na una sifa hizo, nicheki PM Ukieleza kwa nini unafikiri wewe ndo upewe kazi.
 
Kazi kwa anayehitaji

Kazi: Kuendesha na kusimamia biashara.
Bidhaa zinazouzwa: Mojawapo ya bidhaa za chakula kutoka shambani
Uuzaji: Kwa jumla na reja reja
Eneo la biashara: Gongo la mboto.
Mshahara: Posho ya 300,000Tshs kwa mwezi + Bonas kulingana na utendaji mzuri na mwenendo wa biashara.

Sifa za mwombaji:
1.Wanaume watapewa kipaumbele, wanawake watafikiriwa
2.Kama ni mwanamke usiwe na mtoto mchanga
3.Mwombaji awe ni mchapakazi na anayejituma.
4.Awe na "Customer service" nzuri na uwezo wa kushawishi wateja.
5.Awe na uaminifu wa hali ya juu.
6.Awe mbunifu.
7.Awe anaishi mahali ambapo anaweza kufika eneo la kazi bila shida.
8.Awe tayari kusafiri ikibidi
9.Asiwe bishoo.

Kama unafikiri unahitaji kazi na una sifa hizo, nicheki PM Ukieleza kwa nini unafikiri wewe ndo upewe kazi.

Nimeliona tangazo lako nimekuja tujadili
 
Hapa kaz tu. Kwani elimu na umri si vya muimu au... Mbon tangazo lako alijitoshelez
 
Hapa kaz tu. Kwani elimu na umri si vya muimu au... Mbon tangazo lako alijitoshelez

Mkuu, wengine hata kidato cha pili hatukumaliza kutokana na kukosa uwezo wa kujiendeleza kielimu lakini tunasifa zote alizoziweka mdau hapo juu. Sasa unafikiri akiweka kigezo cha elimu si tutakufa njaa. Japo mimi nimechelewa kupata hiyo kazi lakini natetea wenzangu wenye shida na dhiki kama mimi niliekosa fulsa ya elimu
 
MWEKA TANGAZO UMEZUNGUKA SAAAAANA!
BADALA TU YA KUWEKA WAZI KUWA NI KAZI YA UKULI,
ILI WATU TUJIANDAE KIMISULI NA KULA DONA LA KUTOSHa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom