Hello,
Mtaalam wa kuendeleza biashara (Business development Officer) awe pia na taaluma ya marketing uzoefu miaka mitano katika taasisi binafsi maeneo ya africa mashariki ani- PM haraka iwezekanavyo.
Microf Consulting Company Limited ni kampuni inayojishughulisha na utoaji mafunzo katika Sekta ya Microfinance na SACCOS nchini. Inatangaza nafasi za kazi za kujitolea kama Office Administrator na...
Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-
apply kupitia online test na wameita watu kwenye
interview trh. 28 oct, binafsi siijui kiundani lakini
wanasema wanashughulika...
Kama wewe ni binti au msichana uliyemaliza kidato cha nne na kuendelea na mwenye umri usiopungua miaka 24 na huna ajira kwa sasa wasiliana nami and kwa namba 0786-522229 kwa maelezo zaidi.
Ofisi...
Nahitaji mwanamke aliyemaliza kuanzia kidato cha nne na kuendelea ambaye nimwaminifu ili niweze kumuajili kwenye DUKA LA M-PESA na TIGO- PESA MAKUMBUSHO-Dar. sifa zake 1 uaminifu 2.umri miaka 20...
Jamani,
Naombeni kazi. Mimi ni fundi umeme matata sana, hasa wayaring. Nina uzoefu wa kutosha, ni levo 3.
Kama una kazi tusaidiane. Piga 0655 889 567
Mimi nipo Arusha. Popote nipo tayari...
Habari zenu wote,,
Mi leo nimeitwa kwenye usahili Alhamisi na hii kampuni ya Chui,, tafadhali kama kuna anayeifahamu vizuri anijuze tafadhali.
Inamilikiwa na watu gani?
Hi JF,
We are Asap looking for Sales and Marketing freelance with a good knowledge and experience in Security Industry i.e CCTV systems, Alarms, Electrical Fences, Tracking Systems, Security...
Habari zenu.
Mimi ni kijana nliyemaliza Diploma ya water supply and sanitation Chuo cha Maji (WDI). Natafta kazi ya plumbing au nyingine zozote zinazoendana na fani yangu. Yeyote anayeweza...
Ninahitaji mfanyakazi wa ndani na nje ya nyumba kwa shughuli za nyumbani,awe mwenye weledi wa kazi na asiyependa kwenda kwa majirani au kuleta watu nyumbani na asiyependa mazoea na watu bila...
msaada wana jamii nimemaliza certificate ya pharmaceutical dispensing natafuta sehemu ya kufanya kazi nmemaliza field muhimbiri kwa sasa nipo nyumbani nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote
Qn. In the doctrin of previty of conduct state that only a part to the contract can be sue or sued and can benefit from such contract in the sense that no stranger of such contract can be sue or...
Habari, Naomba tumsaidie ndugu yangu.. Elimu yake ni degree katika fani ya procurement & Supply. Kutokana na changamoto za ajira ameamua kuomba kazi ya mhudumu wa ofisi serikalini ambayo inahitaji...
Feza schools Nursery primary and secondary
Applications are invited from sutiably qualifed Tanzania citizens to following posts.
Qualifications
The posts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.