Wapendwa mu wazima wote? napenda kuadhimisha miaka yangu 3 ya u-single baada ya x wangu nimpendaye kinoumah kaniacha, nikitumaini ipo siku nitampata mmoja mzuri zaidi ya yule wa mwanzo.
Pia...
Wakuu,
Nipo kwenye ndoa huu mwaka 3, natafuta mtoto sipati. Baada ya mke wangu kukosa hedhi huu mwezi nimeamua kununua kipima mimba,nimechanganyikiwa kuona mstari mmoja. Sipendi michepuko lakini...
Bado najiuliza hivi ni kwanini wanawake hamuwezi kutunziana siri ?..Urafiki wenu ni wa mashaka sana yani hamnaga kifua cha kutunziana mabaya na mazuri ya rafik zenu..why?
Binafsi nimeshuudia pale...
Kipindi nasoma sekondari tulikuwa na kijimsemo kuwa TIME IS MAKANGABILITY tukimanisha muda haupo upande wetu yaani tumechelewa.
Naomba nitoe onyo kwa akina dada hasa wasomi ambao ndiyo huwa...
Shangee,
Jamani kina baba nakuusieni wakati mnapotafuta wenza wa kuwaoa uzuri usiwe kigezo cha kuona kua mwanamke huyo atakupa faraja.
Wanawake wote ni pasua kichwa ukimchagua kwa uzuri wake...
Ntaanza na mie mleta mada,wapo wengi walofanikiwa kunisomesha namba tena zile za kirumi,but wachache niwakumbukao ni hawa.
1.Alice
2.Anna
3.Irene
4.Sandra
Na nyie wakuu tajeni hapa majina ya...
Jamani nimegundua kama ladha ya papuchi ingekuwa moja kwa wanawake wote swala la kuchepuka lisingekuwepo,lakini kwa hali ilivyo sasa, vijana kusimuliana vijiweni utamu wa papuchi alizokutana nazo...
WEWE SIO MWANAUME, ILA HUU NDIO UANAUME.
Eti mwanaume unaoga mara 5 kwa siku sasa sijui huyo dada yako yeye ataoga mara ngapi akiwa Period.
Mwanaume upo room kwako eti unasikiliza nyimbo za...
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusiana na kama ni kweli kwamba watu ambao ni wembamba ni bora zaidi ya watu wanene. Nimelazimika kufanya utafiti kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali wa ndani na...
Hii imekithiri kiukweli wanaume mkiamua kutulia mkaacha michepuko mkaridhika na mliokuwa nao hakika waganga watamrudia Mungu wao wataachaa maana wateja hamna.
Wanaume mmezidi mnatesa wanawake...
Wahenga walisema chozi la samaki linakwenda na maji mimi nasema chozi la mwanamke humlaani mwanaume aliye umiza moyo wake.
Mara nyingi mwanamke huingia katika mahusiano ili kuitetea amani ya moyo...
I hope mko salama ndugu zangu
Nisiwachoshe nanyooka mazima
Yapata wiki ya tatu sasa kila nikishika simu ya mke wangu nakuta charts zake na mtu anayedai ni ndugu yake.
Nimehoji mara kadhaa na...
SAMUEL ETO'O WRITES: "I met my wife when I was still an amateur footballer in France. FC Nantes refused to take me but my wife always believed in me. I had my little Camer accent car and she was...
Habari zenu wana jf!
Karibuni kwa makala hii hapa!
✍ Kwa utafiti uliofanywa na Bi Lea Rose Emery huko uingereza, alibaini kuwa mahusiano ya mtu ya kwanza ndiyo mahusiano sahihi katika maisha...
HABARI FAMILIA.TUTAFAKARI KIDOGO HAPA.
Ktk kujitafakari na kupitia matukio ktk picha hasa ktk mitandao ya kijamii! Nmekuja kugundua skuiz kuna wimbi kubwa la picha za engagement!
Sio tatzo hata...
Kutokana na uchunguzi niliofanya mdogo, wanaume wengi wamekuwa ni watu wakujadili mambo ya wanawake kuliko maswala yao binafsi ukitaka kuamini angalia mada zinazohusu wanawake ni nyingi mno hapa...