HI TO you all. Am a young man looking for a young lady between 20 to 24 so as we can love each other. I need to love her truly and she will love I in the same way.....hahahah like a mirror image...
Habari za muda huu wana JF? Poleni na shughuli na mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta riziki. Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta partner wa maisha na leo nimeona nije humu nikiamini mume...
Habari yako msomaji,
Mimi naishi nje ya nchi, na natafuta mchumba mwenye heshima zake, na mwenye kujielewa,msikivu,muelewa, mwenye elimu na anayependa watoto, anayeweza kujali familia bila...
Naitwa Sultani Saidi naishi Dar umri wangu ni miaka 28 natafuta mchumba na hatimae aje kuwa mke wangu wa ndoa
Mimi ni mrefu wastani , mweusi ,si mnene ,pia nina mtoto mmjoa
Sifa za mke ambae...
mi ni kijana wa ktz,umri wangu ni miaka 29,nahitaj mpenzi ambae atakuja kuwa mke wangu,dini yoyote,umri wake usizid miaka 45,nina mtoto mmoja,nafanyakazi ktk ngos flan,alie tayari anicheck ktk...
Hellow JF, napenda kuimba(gospel sana),kuogelea sana, kutembea,mpira(man utd) na kusaidiana. Nazungumza Kingereza vizuri pamoja na Kiswahili,I'm fun,charming,friendly,easy to get along with,honest...
Pitapita yangu leo nimekutana na matangazo mawili yanayofanana:
La kwanza likiwa limeandikwa hivi...
"SUPER MAPENZI MVUTO - ni dawa ya mvuto wa mapenzi, humvuta mume, mke, mchumba au mpenzi...
Kijana wa kitz hapa,natafuta mwanamke awe mpenzi wangu na baadae awe mke wangu,umri wangu ni miaka 29,umri wa nimtakae ni kuanzia 18 hadi 40,nina mtoto mmoja wa miaka 7,dini yoyote mradi tuelewane...
naitwa Salum Kassim toka Dar es salaam elimu yangu ni kidato cha nne nina umri wa miaka 19 natafuta msichana wa kiislam aliyetayari kuwa nami kwa miaka 2 ya uchumba ili tuweze kujuana kitabia...
I am a Tanzanian, mixed (mtanzania na mturuki). degree holder,Mfanyabiashara, Tall, white.
Criteria
1.Binti mbantu halisi
2. binti mwenye haiba ya kudeka deka (napenda kubembeleza)
3. sibagui...
MI mimi ni mvulana(21) bado nasoma . natafuta msicha awe na umri 17-21mrefu awe na rangi yoyote nimeamua kwa sababu nimechoka kupenda nisipopendwa na hisi huyu ajae atanipenda pia tutapendana :)
:high5:mambo .....wana love connect......
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,,,,,,natafuta binti asiyezidi miaka 22,ambaye atakuja kuwa mke wangu.
awe na dini muislamu,kabila lolote.....siyo...
me ni kijana wa kiume niko upanga,na ni mwajiliwa,nahtaj bint mwnye mapenzi ya kweli mungu akipenda cku moja awe mke wangu, umri wa miaka 19/24,awe mkaz wa dar,mrembo wa asili,mwembamba or umbo...
Habari yenu mmu.Mimi natafuta dada wa hiari. Anaye jiskia mimi nimuite dada anakaribishwa. Lakini anatakiwa awe na tabia nzuri, mcheshi, adabu, sura nzuri na sauti nzuri. Vile vile awe na uwezo wa...
me ni kijana wa kiume niko upanga,na ni mwajiliwa,nahtaj bint mwnye mapenzi ya kweli mungu akipenda cku moja awe mke wangu, umri wa miaka 19/24,awe mkaz wa dar,mrembo wa asili,mwembamba or umbo la...
Habari zenu wanajamii forum mie ni dada wa miaka 34 ni mfanyakazi wa private organisation mojawapo ya mikoa yetu ya Tanzani.
Napenda kujitokeza hapa kutafuta mwanaume ambae yupo serious na...
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye awe mwalimu wa primary au secondary kuanzia miaka 18-24,aliye tayari no 0718601714
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Habar wadau wote hum, mim ni kijana mwenye miaka 27 nataka mwenza mwenye umri wowote wa kike ili tuweze kula raha, ila lazma tupime kwanza niko mafinga iringa, cm 0765180309
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.