Natumai wasomaji mu wazima. As the heading refers, am a man aged 31 yrs old, graduate (economics), public servant at one of the ministries, looking for a very very buautiful lady who is focused,at...
Jamani niseme wazi kuhusu ukweli wangu, tangia nikiwa nursery nilikuwa sipendi kuwa na marafiki wa kike, mpaka namaliza chuo sikuwa na rafiki wa kike ata mmoja zaidi ya girlfriend wangu, mtazamo...
Wanajamvi eeeeh!naomben ushauri japo kidogo,kuna msichana mmoja hapa chuo ametokea kunipenda ile nzuri,yani huyu hatanii hata kidogo kwenye suala la mapenzi na everyday anataka tuje kuoana lakin...
Ninamanisha Jamani,BINTI Yeyote aliyetayari kunipenda,KUNISIKILIZA na kuolewa na mimi Tuwacliane! Vigezo Awe na umri kati ya 24 na 26,ana asili ya kaskazini,mkristo,ANAJIHESHIMU,Urefu wa...
wana jf da! nahisi labda sijajua mapenz yakwel ni yapi,what girls like?,what man like ,,kwanini mahuziano yanakua yakawaida kiivo yan kama kuigiziana kirahisi rahisi tu vile!me sijielewi labda...
Habari wana MMU. Mimi ni kijana wa kiume. Baada ya kujitathimini mimi binafsi, bila kushawishiwa na mtu (external influence) zaidi ya moyo wangu napenda kutangaza wazi kuwa nahitaji mwenza kifupi...
Mim ni kijana wa umri wa miaka 26 na ninafanya kaz morogoro.nimejitokeza hapa jf kutafuta mchumba/mke wa kuoa ambaye nitafanya nae maisha.awe ni christian,awe na heshimu wazaz wang,awe na...
Wadau kama nilivyoeleza mke wangu hapendi tendo la ndoa mimi nimepata solution fulani ya kufanya masterbation nijiridhishe ili ninapokutana nay basi namalizia tu nakuwa nimetosheka kiasi fulani
Habari wana JF
Mimi ni mwanamke, natafuta mchumba. Awe na miaka kuanzia 36 na kuendelea. Dini awe mkristu na mcha Mungu, Awe hajawahi kuoa wala asiwe na watoto. Elimu chuo kikuu. Awe serious na...
hallo wadau natafuta chumba mwenye umri miaka 20 mpaka 28 mchamungu mwenye hofu na mungu sala 5 anajiheshumu asiyekuwa na makuu mwembamaba kiasi mrefu umbo zuri la kuvutia kifua kidogo yani maziwa...
Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja ambaye tumedumu kwa miaka miwili sasa, tatizo nikwamba hataki kunitambulisha kwa rafiki zake hasa wakiume ambao alikuwa nao vyuoni, na hata anaofanyanao kazi...
Goodmorning mimi ni mwanamke umri 28.ni mama wa mtoto moja ninatafuta mwanaume wa kunifuta mchoz baadae awe mume wangu.umri wake uwe kuanzia miaka 35 mpaka 50.
asanten na sku njema
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila...
Ninatafuta mke wa kuoa umri wangu miaka 32, dini mkristo, elimu yangu shahada ya uzamili, nina kazi, urefu 172 cm, rangi maji ya kunde, ninaishi Dar es salaam. Sifa za mwanamke umri 25 -32, dini...
Nimekuwa busy kutafuta elimu na future life. Nadhani kwa sasa inatosha kuanza maisha na mwenzangu. Nipo pande za Asia naomba yeyote aliye tayari kuishi nami, picha muhimu. Natarajia kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.