Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Hivi nikitaka kubadilisha uraia nichukue uraia wa Kenya natakiwa nifate njia zipi? Najua humu kuna wajuzi wengi siwezi kukosa majibu. Nimeshaanza ku practice, leo nimenunua blacelet za Kenya mimi...
11 Reactions
53 Replies
2K Views
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Serikali ya Kenya imeruhusu Maduka ya Dawa za Binadamu kuanza kutoa huduma ya kwanza ya Dawa ya Kuzuia Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI (PrEP) baada ua tafiti kuonesha zitasaidia Watu kuzipata kwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau jukwaa la KENYA natafuta WAKENYA 2 nafasi ya usimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo 1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Ruto Names Second Batch of The Cabinet President William Ruto: The government will provide all necessary support for those affected by protests. ✅President Ruto: Police officers, their prison...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wizara ya Afya imethibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa virusi vya 'Mpox' mpakani mwa Taita Taveta na Tanzania baada ya kugunduliwa kutoka kwa mtu mmoja aliyekuwa akisafiri kutoka Uganda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kenya imeanzisha mpango wa kutumia sumu kuua Kunguru Milioni moja katika Miji ya Watamu na Malindi, ili kuzuia wasisambae Jijini Nairobi Kunguru wamekuwa wakishambulia Wanyamapori, kuvamia maeneo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Prof Kindiki amesema yeye hawezi Kujiuzulu kwa Makosa ya Polisi kuuwa Waandamanaji Kindiki amesema kila askari Polisi atabeba Msalaba wake mwenyewe Kindiki amesema Yeye kama Waziri ni Mwanasiasa...
3 Reactions
5 Replies
601 Views
Hawa vijana wamejitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe. Kenya Ina wenyewe (Royal families, 1. Kenyatta, 2. Moi(Ruto) na, 3. Odinga) Wewe unatoka Kibera/Mathare unataka kuharibu system ya...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
The screen is back. Touts are out.
8 Reactions
225 Replies
17K Views
Hongera ruto! ======== Gov’t Announces Changes in Passport Application & Collection Gov’t Announces Changes in Passport Application & Collection: The Directorate of Immigration Services on...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
PPP ya Kafulila imesifiwa na Rais Ruto wa Kenya akisema ni Uwekezaji wa Win- Win Ruto amesema Aidan ya India watakodishwa Uwanja wa Ndege na Siyo kuuziwa kama inavyovumishwa mitaani Source...
3 Reactions
6 Replies
602 Views
Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani. Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za...
23 Reactions
268 Replies
25K Views
Kiukweli Tanzania tusifikirie kabisa mambo ya Maandamano yanarudisha nyuma Maendeleo Fikiria Rais Ruto kila baada ya siku mbili anahutubia Taifa Wahuni siyo Watu 😂
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Hayo ni maneno ya William Ruto Rais wa Kenya akitishia kujitoa kuwa Mwanachama wa Mahakama ya Haki za binadamu ya Afrika -Arusha. Chanzo Cha vitisho hivyo vya Ruto ni sakata la Mahakama hiyo...
4 Reactions
50 Replies
3K Views
Baada ya Viongozi wanne wa ODM kuingia kwenye cabinet ya Kenya Kwanza maana yake ODM siyo Chama cha Upinzani tena hivyo kimeondolewa kwenye Umoja wa Azimio Source: Citizen TV Mlale Unono 😀
10 Reactions
11 Replies
990 Views
Kenya's coup conspiracy Monday, May 24, 2004 — updated on June 21, 2020 Mancham, a regular visitor to the Kenya waves Kanu's one-finger salute as he departed from Nairobi in 1972 to the amusement...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Katibu Mkuu wa ODM, Edwin Sifuna hivi majuzi amejipata kwenye njia panda kuhusu uteuzi wa baadhi ya wanachama katika Baraza la Mawaziri la Rais William Ruto. Ruto alipendekeza mwenyekiti wa...
0 Reactions
1 Replies
870 Views
India’s Adani Airport Holdings Limited has proposed to invest $1.85 billion (Sh246 billion) to expand Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) under a concession deal that, if accepted, could...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Akizungumza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta, Bw Odinga alimsifu Bi Karua kwa bidii na rekodi yake ya haki za binadamu. "Nilimhitaji Joshua wa kweli kwenye kando yangu, ambaye...
4 Reactions
59 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…