Taarifa za hivi punde zinasema kwamba, watu wengi wameuliwa baada ya Alshabaab kuvamia basi la abiria jioni hii huko katika mkoa wa Wajir.
Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa...
Wakuu,
Jirani naye hana tofauti na wa kwetu, ni mwendo wa mabavu tu badala ya uwajibikaji utafikiri itasaidia kubadilisha kitu, zaidi ni kufanya wananchi waangalie njia ya kuleta uwajibikaji kwa...
Kipindi cha maandamano ya gen-z kule Kenya mpaka kufikia kwenda bungeni na kutokea mauaji ambayo inashutumiwa KDF ambalo ni jeshi la Kenya kuhusika sasa, BBC ilitoa taarifa kupitia kipindi chake...
Wajuvi wa mambo mliokwea hizo ndege nani zaidi kati ya ET vs KQ katika nyanja zifuatazo;
1. Reliable & Convinient booking system (including payment mode = mobile money, Credit card, CASH/local or...
Mbunge wa Chama cha ODM, Charles Were amepigwa risasi na kuuawa katika mzunguko wa hifadhi ya City kwenye barabara ya Ngong jijini Nairobi na watu wawili waliokuwa kwenye pikipiki muda mfupi...
Vyombo vya Kenya Jana usiku vilitoa habari ya kuuliwa kwa Mbunge Were aliyepigwa risasi na mtu aliyekuwa anayeendesha pikipiki.
Tukio hili limetokea baada ya Mbunge huyu wa ODM kuliomba jeshi la...
Kenya Airways has nothing to fear about return of Uganda Airlines – envoy
SUNDAY DECEMBER 9 2018
Insight. Kenya’s High Commissioner to Uganda, Mr Kiema Kilonzo, during the interview in...
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Kenya wamelaani vikali ghasia zilizozuka katika Eneo Bunge la Kilgoris, Kaunti ya Narok, kati ya wananchi na maafisa wa polisi kuhusu mgogoro wa ardhi ya...
Kaimu mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja amewahamisha maafisa wote wa kituo cha Kuare kiliko mita chache kutoka machimbo ya mawe ambako maiti zi;likutwa zimetupwa, ili kuruhusu uchunguzi...
Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ngeno, alijikuta katika mvutano na polisi kufuatia tukio la vurugu lililosababisha vifo vya watu watano katika eneo la Angata Barrikoi, Kaunti ya Narok, Kenya...
Kenyan authorities block screening of ‘Blood Parliament’ documentary: BBC
By Dennis Musau Published on: April 29, 2025 08:17 (EAT)
A Kenyan Police officer fires a tear gas canister towards...
SERIKALI, kupitia Bodi ya Kudhibiti na Kusimamia Kamari (BCLB), imesitisha matangazo yote ya kamari katika majukwaa yote ya vyombo vya habari nchini kwa kipindi cha siku 30, kufuatia ongezeko la...
Maafisa wa upelelezi katika Kituo cha Polisi cha Kayole, Nairobi wanamshikilia Imamu mkuu kwa tuhuma za kusababisha madhara makubwa kwa watu wawili.
Inaripotiwa kuwa Imamu Mohamed Ibrahim Hussein...
Margaret Nduta Macharia (37), raia wa Kenya aliyekamatwa mwaka 2023 nchini Vietnam na dawa za kulevya kilogramu mbili za Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025...
Taasisi ya Gates (zamani ikijulikana kama Bill and Melinda Gates Foundation) imetangaza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Nchi Mwenyeji na Serikali ya Kenya, yaliyokuwa yanawapa kinga za...
Hamna namna ya kupenya soko la Afrika Mashariki na Kati bila baba lao Kenya kutia saini humo.
=========
Global electric giant LG Electronics has opened its first East Africa’s laundry shop in...
Jumanne wiki hii, Rais William Ruto wa Kenya aliwasili Beijing na kuanza ziara ya siku tano nchini China. Ziara hii inafanyika baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuanza “vita vya ushuru” dhidi...
Mwanaume aitwaye Titus Wekesa Sifuna alifikishwa katika Mahakama ya Milimani siku ya Jumatatu kwa tuhuma za hotuba ya chuki, ambapo upande wa mashtaka uliwasilisha ombi la kumshikilia kwa siku...