Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, viongozi wa dini wakimbia kupitia uzio baada ya polisi na wahuni kuvuruga ibada ya kanisani Othaya, Nyeri
0 Reactions
2 Replies
186 Views
Januari 22, 2026 Mahakama Kuu ilibatilisha uamuzi wa kuanzishwa kwa Ofisi na uteuzi wa washauri 21 wa Rais William Ruto, ikisema kuwa mchakato ulikuwa wa siri, bila kufuata Katiba. Uamuzi huo ni...
3 Reactions
4 Replies
311 Views
https://www.the-star.co.ke/counties/nairobi/2021-03-28-bus-rapid-transit-project-in-kasarani-area-takes-shape/ Bus Rapid Transit project in Kasarani area takes shape They are to operate...
6 Reactions
102 Replies
15K Views
https://www.citizen.digital/article/nyayo-stadium-shortcomings-cloud-nairobi-uniteds-caf-confederation-cup-match-n376141#google_vignette
0 Reactions
0 Replies
209 Views
So far, many Kenyans have taken part in a “tree-hugging” challenge as a form of activism.
0 Reactions
3 Replies
167 Views
Mwanasheria na mwanaharakati wa kisiasa anayezua mijadala, Miguna Miguna, ametangaza nia yake ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Tangazo lake linaongeza ushindani katika...
1 Reactions
2 Replies
337 Views
Mamlaka Huru ya Usimamizi wa Polisi (IPOA) imeanza uchunguzi baada ya video ya CCTV ya dakika nane, inayoonyesha polisi wakiwashambulia vijana katika ukumbi wa pool table wa Nandi Hills, kusambaa...
1 Reactions
1 Replies
195 Views
Katika kesi ya mauaji ya Shakahola, mmoja wa washukiwa wakuu, Enos Amanya maarufu kama Hallelujah, ameachana na kukataa na akiri hatia ya mauaji na mazishi ya zaidi ya watu 191 mbele ya Mahakama...
2 Reactions
3 Replies
610 Views
Baada ya kudaiwa kuwa Mgombea Urais Bobi Wine amechukuliwa na vyombo vya usalama na kupelekwa kusikojulikana hapo jana, Solomon Kampala ameandika kupitia mtandao wa X kuwa alifanikiwa kutoroka...
1 Reactions
7 Replies
425 Views
  • Redirect
Katika kesi ya mauaji ya Shakahola nchini Kenya, Enos Amanya maarufu kama “Hallelujah” ameachana na kukataa na akiri hatia ya mauaji 191 mbele ya Mahakama Kuu ya Mombasa. Amanya, mmoja wa...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya imetangaza kusitisha utoaji wa vibali vya kazi kwa madaktari wa kigeni wenye vigezo sawa na madaktari wazawa ikisema vibali vitatolewa tu kwa madaktari...
0 Reactions
1 Replies
207 Views
MY TAKE Many of those uyoga buildings would have collapsed! Nairobi has 200 unsafe buildings
10 Reactions
72 Replies
7K Views
Takriban miaka 31 iliyopita, marubani wawili wa Kenya, Hussein Mohamed Anshuur na Mohamed Adan, walitembelewa na mgeni ambaye hawakumtarajia katika ofisi yao katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, nje...
0 Reactions
0 Replies
283 Views
Basi imebeba abilia, lakini mtu anaamua kuifanyia fujo Basi yenye abiria. Mbaya zaidi anatoa Bastola ili ampige risasi Dereva. Wasiojulikana wametamalaki. Trafiki hata ulipoti hawanyi chochote...
12 Reactions
43 Replies
3K Views
A storey building under construction collapses in Kinoo, Kiambu County, leans into an adjacent 7-storey building causing serious damages. Residents say that the building caved in during the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakili mmoja kutoka Nairobi amefungua shauri katika Mahakama Kuu akiomba kutolewa kwa amri ya kusitisha magari ya usafiri wa umma (matatu) kupiga muziki wa sauti kubwa, akisema kuwa tabia hiyo...
1 Reactions
1 Replies
214 Views
Serikali ya Kaunti ya Nairobi, kupitia Waraka wa Kamati ya Utendaji ya Kaunti (CEC) Na. 43 wa mwaka 2025, uliosainiwa Desemba 2025 na Mjumbe wa CEC anayesimamia Mitaa, Utawala na Rasilimali Watu...
0 Reactions
1 Replies
232 Views
Mahakama Kuu imeamuru kutaifishwa kwa mali zenye thamani ya shilingi milioni 76.2 zinazomilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Kiambu, Ferdinand Waititu, ikiwemo kurejeshwa kwa vipande viwili...
2 Reactions
4 Replies
372 Views
Wakenya 86 walioko nchini Myanmar wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili wakikaa chumba kimoja, wakiiomba Serikali ya Kenya iingilie kati ili warejeshwe nyumbani. Wanasema hali wanayoishi ni ngumu...
1 Reactions
5 Replies
257 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…