Kumekucha Afrika, ni rasmi bahari ya Hindi itaunganishwa na bahari ya Atlantic kupitia mradi wa LAPSSET, dah! Kenya patamu, Afrika inazidi kupaa. Afrika yote tunaungana kupitia AfCFTA, wachache...
Baada ya USA kukataa kwamba Alshabab ni magaidi, Kongamano la uslama wa dunia la umoja wa mataifa limetoa Tamko hili la pamoja.
Kenya lazima ikome kuingilia nchi zingine na kuabudu Mabeberu..Damu...
RASMI SASA: Baada ya Shirika la KQ kuliwa na Mabeberu wa KLM na mijizi mingine ya asili ya kizungu. Sasa wameamua itoshe, Serikali itanunua hisa zote itaifishe shirika.
Inaonekana JPM alivyo...
Wakenya wanapoendelea kuteta na kunugunika huko twitter eti hakuna pesa wala ajira, Mamake Kenyatta anaendelea kutia hela ndefu mfukoni. Yaani bibi kizee ambaye hana ofisi wala mamlaka yoyote...
Hili lingefanyika Kenya joto la jiwe, akili punguani with their grand master Geza wangemwaga dharau tele., Airline industry Tanzania hamtoweza kamwe, with the ccm ideology and stance hapa...
Shirika mfu la KQ Linaendelea kudidimia..Kama walivyo tunga sheria ya kulazimisha mizigo yote iende na SGR..sasa harakati za kulazimisha wasafari wote kutumia KQ zipo kwa majadiliano.
Hivi swali...
1.kenyans enjoy full democracy while Tanzania is under dictatorship
2.Freedom of expression in Kenya
3.Free politics to all political parties
4.Uhuru unified Kenyans magufuli is enlarging the...
https://www.exploring-africa.com/en/tanzania/datoga-people/history-datoga-people
Uganda wameweza kupata medali uko Doha kupitia cheptegey n.k.ambao ni wa jamii moja na wale wakenya wa Mt. Elgon.
Hiki kitu Watanzania wamegoma kukiweka sawa na kuendelea kufoka dhidi ya mabeberu, hawa hawatawaacha hadi siku mtaruhusu WHO wakague wenyewe na kuhakiki hicho kitu hakijafichwa. Hizi tahadhari...
Hali inaendelea kuwa mbaya zaidi.
============
Kenya Airways to Earn Billions in Sale of 7 Aircraft
businessdailyafrica.com
Sep 20, 2019 11:44 AM
Kenya Airways chairman Michael Joseph. FILE...
Duh!!jamaa kiukwel hizi habari zimenishtua sana..yani sijui serikali zetu zikoje, manake huku WHO wanasema kuna mgonjwa wa ebola aliingia tanzania wakati waziri wa tanzania juzi tu kapinga kuhusu...
Law gives Cabinet powers to cancel, alter census data
TUESDAY, SEPTEMBER 10, 2019 10:42
BY CONSTANT MUNDA
Attorney-General Kihara Kariuki. FILE PHOTO | NMG
The Cabinet now has the power to...
Katika mishe mishe zangu youtube nikakutana na hii video..kiukwel huyu mbunge alikua na machungu sana...
Mpka kafikia hatua ya kuichana serikali live live...
Hii sio poa km ni kweli..
I've never...
Kenyans are less troubled about the security of personal data posted on internet, a global survey shows, implying they could be an easy target for cyber criminals.
Only four in every 10 internet...
Nimepitia hii orodha ni kashangaa sana kumbe Uchumi wa Kenya unaendeshwa kama wa North Korea.
Kenya - 130
Tanzania -94
Tanzania ni uchumi huru.
👇👇
https://www.heritage.org/index/ranking
Hivi wanaofurahia Kushikiliwa kwa ndege ya ATCL mnafikiria Serikali ya Tz Haina uwezo wa kurudisha konde kwa konde?
Hauwezi enda kortini kwa utumbo wako bila kufahamisha ATCL malalamishi yako tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.