Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe. Mpaka sasa sijasikia mgombea...
39 Reactions
84 Replies
7K Views
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu...
11 Reactions
80 Replies
5K Views
Wanamazingira wapinga mti wa mbuyu kungolewa na kuuzwa. Miti hiyo adhimu inayoenziwa na wenyeji wa kaunti ya Kilifi pwani ya Kenya hutumika kwa shughuli nyingi za kijamii. Mambo hayo ni kama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
MY TAKE: Katika hili hata Tanzania tunarudi enzi za Kikwete, R.I.P Magufuli Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
1 Replies
621 Views
Ndani ya wiki moja Kuna ghorofa liliporomoka, lilikuwa jengo la Ghorofa 7. Jana tena jengo la Ghorofa 5 nalo limeporomoka. Hili swali niwaulize wakenya. Tatizo nini huko? Hakuna wahandisi...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Hamna haja ya kuendelea kuzungushana DRC, muda umefika wa kulazimisha amani, hutaki sepa.... Na ukizingua unakumbana na mkung'uto.. Kenyan President William Ruto on Monday said the East African...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Kama kuna kitu polisi wa mataifa ya Afrika wanakiwa kujifunza basi ni huu ujumbe. Naomba tuusikilize alafu kwa pamoja tuuchangie .
0 Reactions
4 Replies
653 Views
Kenya Airways to earn billions in sale of 7 aircraft SUMMARY The listed airline had a fleet of 41 airplanes at the end of last year Restructuring its fleet, including selling aircraft and...
4 Reactions
64 Replies
8K Views
Kenya airways wamesign makubaliano na Delta airlines in a codeshare agreement. The new agreement increases customers' travel options to 19 cities in Africa and 25 cities across the U.S. and...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama mada ilivyoeleza hapo juu, naomba kusikiliza experiences zenu while doing business in Tanzania as a Kenyan. Is this something you would recommend? Nashukuru.
0 Reactions
4 Replies
706 Views
Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa kinachotakiwa kwa sasa ni kuongeza nguvu kwenye kukamilisha miradi na ahadi alizoweka wakati akiwania Urais. Kauli hiyo imekuja baada ya hoja kuibuliwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jengo la ghorofa 7 lililokuwa linajengwa katika eneo la Kasarani Jijini Nairobi limeanguka huku zaidi ya mafundi 10 wakiwa ndani ya jengo hilo Wananchi wamefanikiwa kuwaokoa watu wawili...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Watu wawili wamefariki huku mmoja akiokolewa baada ya jengo la ghorofa tano kuanguka eneo la Ruaka kaunti ya Kiambu mapema Alhamisi asubuhi. Jengo hilo liliporomoka saa 3:30 asubuhi na kuporomoka...
0 Reactions
6 Replies
883 Views
Huyu mama yuko simple na mkweli, anaeleza kama ilivyo na kuwa tayari kurekebisha badala ya kutukana au kulaumu laumu mabeberu..... Binafsi huwa nimewachoka na kuwakinai wanasiasa, kwa hii video...
0 Reactions
13 Replies
886 Views
MY TAKE: Huo ni mwanzo tu, hii ni Tanzania, R.I.P JPM
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Rais wa Kenya William Ruto amekanusha madai kuwa ana mpango wa kufuta ukomo wa mihula miwili ya Urais nchini humo na kuweka ukomo wa umri wa kuwania kiti cha urais kwa miaka 75. Mjadala huo...
0 Reactions
3 Replies
780 Views
Bunge la Kitaifa limethibitisha kupokea mapingamizi 4 ya kuwafuta kazi Maafisa 4 wa Tume Huru ya Uchaguzi waliodai Matokeo ya Urais hayakuwa halali. Makamu Mwenyekiti wa Tume, Juliana Cherera, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
My Take: Sasa kama wameshindwa kulinda amani nchini kwao, huko DRC wanaenda kufanya nini? Haya ni maajabu ya Dunia. [emoji13]
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Marekani inatoa zawadi ya Dola Milioni 10, sawa na Tsh. 23,300,000,000 kwa watu ambao watatoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa Mahad Karate, Jehad Mostafa na Ahmed Diriye ambao ni viongozi wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini Kenya mheshimiwa Rais William Ruto mapema leo amekabidhi bendera ya kenya kwa Jeshi kabambe la kenya KDF...
31 Reactions
280 Replies
14K Views
Back
Top Bottom