Nimeipenda nyumba hii nikawaz nibadilishe iwe frem lakini huku madirisha ya mbele nayabadilisha kuwa mlango , jumla inakuwa na frem 3 . Buget yangu ya ujenzi mpaka kupaua bila finishing ni milion...
Wanajf habari zenu nna eneo langu nataka nianze ujenzi so nikaamua kutafuta karamani simple cha rooms tatu but nikaona nishare nanyi wadau nini cha kuongeza nini cha kupunguza kwenye ramani hii...
Habari wakuu ...
Hapa tumepopanga nyumba inatatizo la earth rod, unatakiwa kubadilisha, Sasa nimezunguka dukani kuuliza naambiwa Kuna za 8000, Hadi 25000, kwa mafundi wa umeme ni earth rod ipi...
Habari,
Nyumba imeezekwa takriban mwaka sasa, bati Gauge 28 ya Alaf, Tatizo ni kelele za bati pindi jua libapowaka na usiku likipoa ( thermal expansion noise). Nashindwa kuelewa, tatizo ni fundi...
Ndugu zangu naomba mnipe mwongozo pa kuanzia mimi nimenunua kiwanja kutoka kwenye kampuni inayouza viwanja lakini wao walikuwa bado hawajavirasimisha ila walikuwa waneshavipima wao tu tukuvikata...
First of all, heshima kwa wote waliojenga.
Hoja zangu hazimaanishi kuwakosoa ila ni kutofautiana na mapendeleo.
Mimi binafsi sipendelei aina ya ujenzi ufuatayo:
■ Uongezaji kimo wa nyumba kwa...
Kuna vitu ambavyo zamani kidogo vilikuwa vinafanyika katika ujenzi na sasa hivi vimeonekana ni vya kizamani na wengi hawavifanyi tena mfano
1. Kidirisha kidogo kutoka jikoni kwenda Dinning cha...
Nyumba ya mbao kuna vitu havitakuwepo. Gharama ya kubeba tofali ulikozinunulia au kama umefyatulia nyumbani hakutakuwepo na wasaidizi wengi wa fundi unaweza kuwa mwenyewe msaidizi.
Kokoto na...
Wakuu habarini za asubuhi,
Nashukuru Mungu nimemaliza kujenga boma na sasa nimebakiza kupaua km Mungu atajilaalia. Sasa nataka kupaua na bati za Alaf hasa zile zenye umbo km vigae.
Naomba...
Wasalaam,
Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao.
Mwenye...
Habari wadau.
Naomba niende kweny maada moja kwa moja. Kitaalamu unaweza kushauri mjenzi atumie kipi kati ya mlango wa mbao au chuma
Mfano wa mlango wa chuma huo hapo chini
Ujenzi ni mgumu sana na unahitaji kujitoa sana na uvumilivu mkubwa . Jenga nyumba ambayo unaweza Kwa kipato chako.
Narudia kipato chako sio kiwango cha pesa ulizokopa au ulizosave kwenye...
Nyumba hii tunafumua bati tunapiga kozi moja baadae tunaezeka kisasa fundi alipiga bati kizamani sisi kazi yetu hapa kufanya maajabu ukitaka kazi zetu
Tumeokoka tunapiga kazi safi hatuna shida...
Wakuu ndoto yangu mwenyezi Mungu akinijalia uzima ni lazima nijenge kighorofa chumba kimoja tu!
Kutema mate ukiwa juu aisee kuna raha yake! Kupiga bao ama kushangilia goli ukiwa juu!
Wataalamu...