Miradi ya tovuti (website) si mingi sana hapa nchini ukilinganisha na mataifa yaliyoendelea kiteknolojia. Bado watumiaji wengi wa mtandao hutembelea mitandao ya nje kama vile Facebook, Twitter na...
Kwa hali halisi ilivyo sasa,lugha ya kiswahili kutowekewa misingi mizuri ya kukua na kuenea kwake kama ilivyokua miaka kadhaa baada ya uhuru,..baada ya miaka 10 ijayo asilimia kubwa ya watz...
Wakuu,
Kuna baadhi ya nchi ambazo hujulikana kwa kiingereza kwa jinsi zinavyojulikana;lakini nchi hizo pia katika llugha yetu adhimu ya Kiswahili unakuta zinaitwa majina tofauti.Mfano nchi kama...
mimi ni mwanalugha hasa lugha ya kiswahili .
kwa sasa naona fursa za kufundisha lugha kwa wageni kwetu hapa adimu sana.
hivyo nataka nikasome mastez yake kenya na nitafute huko fursa. mwenye...
Tanzania to open Kiswahili teaching offices in foreign countries
Traders sell their wares in Arusha, Tanzania. Kiswahili has been one of the unifying factors of Tanzanians and is currently...
VYOMBO VYA HABARI NA MATUMIZI YASIYO SAHIHI YA LUGHA NA ATHARI ZAKE KWA WASIKILIZAJI WAKE
1. UTANGULIZI
Andiko hili ni maalumu kwa watu wa habari hapa nchini pamoja na watanzania wote na...
Habari zenu wanajamvi wa jukwaa hili la lugha, husika na kichwa cha habari hapo juu, why waungwana waliamua kukiita kibao cha mbuzi na si cha nazi? mbuzi katumikaje hapo?
Nitashukuru kwa...
mara nyingi nimekua nikifatilia habari kwenye vyombo vya habari vya kenya na hata BBC wakihariri habari wakenya hulitumia neno KUKASHIFU kama kulalamika au kupinga maamuzi au maneno yaliofanywa na...
vp kiswahili kilisanifishwa je ilichukuliwa lahaja moja ya kiswahli na kusanifishwa auwalichukua lahaja mbalimbali ikasanifishwa. kama wakuu kuna mtu atanijuza hili ntafurah sana maana katika...
Wengi tumezoea kusema "nasikia harufu fulani" wakati inafahamika kwamba hatutumii masikio kutambua harufu bali pua,je ni neno gani sahihi la kuelezea hisia hii badala ya neno "nasikia"??
Leo siku ya Jumamosi 28/6 muda kama wa saa 5.30, nilimsikia Waziri wa
Fedha Mh. Sada Mkuya aki wind up mswada wa sheria ya fedha akisema kwa kiingereza: 'I
can see a huge different.....'
Huu...
Naombeni msaada wenu, mara nyingi tumekuwa tukishuhudia na kuwaona watu wenye matatizo ya:-
Kuona > tunawaita vipofu,
Kusikia > tunawaita viziwi,
Kusema > tunawaita mabubu,
Sasa hawa watu...
Habari zenu walimu wangu wa jukwaa hili..
kuhusiana na maneno hapo juu, je ni sahihi kuyatumia? maana ni mazoea ya watu wengi sasa nikiwemo mimi huwaga napendaga kuyatumiaga