Jukwaa la Historia

On JF:

Kampuni ya IPP Limited mwaka 1994 inatambulisha chaneli ya Analog kwa jina ITV kupitia masafa ya mawimbi ya kawaida kipindi hiko. Na kipindi hiko ndio mtaa mzima tumenunua TV ya PANASONIC TX...
35 Reactions
335 Replies
23K Views
Miaka ya 1970 katika chuo cha kikuu cha Dar-es-salaam (UDSM) kulikuwa kuna Professor mmoja maarufu aliefahamika kwa jina la Walter Rodney alikuwa ni raia wa Guyana nchi inayopatikana bara la...
2 Reactions
1 Replies
287 Views
Kama ungebahatika kutembelea jiji la Cairo hususani siku ya tarehe moja mwezi wa saba mwaka 2007, ungegundua ni siku na mwezi ambapo hali ya hewa ilikuwa ni joto kali sana kiasi kwamba muda...
11 Reactions
27 Replies
978 Views
https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=xrLIzyrg4OFKo8ue
0 Reactions
2 Replies
66 Views
Kwakua tumetoka kwenye wiki ya mama duniani, niliona si vibaya nikifululiza habari za wanawake katika thread zangu. Kabla wenzangu hawajanijia juu, leo naomba niwape ya dada huyu. Usiongee maneno...
9 Reactions
23 Replies
6K Views
Chanzo hiki kinatoa kumbukumbu za kihistoria** kuhusu taasisi ya Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika iliyoanzishwa mwaka 1933 kwa lengo la kuendeleza elimu na maslahi ya Waislamu. Mwandishi...
1 Reactions
3 Replies
117 Views
Mnamo Sikukuu ya Krismasi mwaka 1971, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Wilbert Kleruu, aliuawa na mkulima Said Mwamwindi huko Isimani. Tukio hilo lilitokea wakati wa utekelezaji wa sera za serikali...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
JENGO AL JAMIATUL ISLAMMIYA FI TANGANYIKA LINAONDOLEWA MADIRISHA NA MILANGO Nimeletewa picha hizo hapo chini za jengo la Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika picha zikionyesha madirisha na milango...
1 Reactions
10 Replies
311 Views
Kisi hiki cha Kim Philby ni moja ya visa vya kusisimua zaidi katika historia ya ujasusi Duniani. Ni simulizi ya mtu aliyefika kileleni mwa idara ya siri ya Uingereza huku akiwa anaitumikia adui...
14 Reactions
46 Replies
1K Views
Huenda ikulu ya Dar es Salaam ilijengwa na Wajerumani, kwenye empty space, na baada ya kuharibiwa kabisa, kwenye vita ya kwanza ya dunia, ikajengwa tena na Waingereza. Wajerumani walikuwa taifa...
0 Reactions
15 Replies
276 Views
Read this very carefully guys and take a close look at yourself and the environment that you live in today Botha speech 1985 THE FOLLOWING is a speech made by former South African President P.W...
14 Reactions
645 Replies
99K Views
  • Redirect
Watanzania tupige kura kuhusu huu muungano au maagano laZima muungano uwepo Kwa mahitaji ya wananchi Andika NDIYO kama unaupenda muungano Andika HAPANA kama huitaji Muungano
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ni miaka 55 imepita toka Mnyalukolo, Said Abdallah Siulanga Mwamwindi, ammimimie risasi na kumuua aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Iringa, marehemu Dr. WILBERT KLERUU. Mauaji hayo yaliyokea tarehe...
0 Reactions
Replies
Views
KUNA HISTORIA KUBWA YA MWALIMU NYERERE NDANI YA SOKO LA KARIAKOO Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amelifungua Soko la Kariakoo jana Jumapili tarehe 8 February 2026. Nimepata siku za nyuma...
7 Reactions
36 Replies
940 Views
Brussels, Ubelgiji. Tarehe 3 Novemba 1995. Yupo Mwanadiplomasia mmoja wa Hamas siku hii alikuwa anatoka kwenye mkutano wa Umoja wa Mataifa uliokuwa ukijadili kuhusu wakimbizi wa Palestina. Sasa...
11 Reactions
24 Replies
1K Views
https://youtu.be/F8-U0yv9bDY?si=DhI7BYddoL1e93m9
1 Reactions
18 Replies
260 Views
5 Historia ya dunia imejaa matukio makubwa yaliyobadilisha namna wanadamu wanavyoishi, kufikiri, kufanya biashara na kuendesha jamii. Baadhi ya matukio hayo hayakuathiri nchi moja pekee, bali...
1 Reactions
2 Replies
166 Views
  • Redirect
let’s stop playing, man. Let’s look at this whole f*cking situation intellectually lakini kwa lugha ya kitaani kabisa. Hii nchi inapelekwa kipumbavu na hawa dumb ass motherf*ckers kiasi kwamba...
2 Reactions
Replies
Views
https://youtu.be/X3fwMLuxl1Y?si=rLRYL_eeUQ-SpxJv
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…