Jukwaa la Historia

On JF:

Kwamjibu wa taarifa za ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu kwa Wakristo na Wayahudi), kitabu cha kwanza cha...
6 Reactions
40 Replies
12K Views
EAMWS ISINGEPIGWA MARUFUKU HAYA YASINGEWEZEKANA Laiti EAMWS isingepigwa marufuku na serikali mwaka wa 1968 kuwa ni jumuiya haramu na Chuo Kikuu kikajengwa hayo utakayosoma hapo chini...
0 Reactions
10 Replies
429 Views
Hili ni lango kuu lililokuwa likipitisha watumwa kwenda Marekani. Lango hili lipo baharini nchini Senegal [emoji1211]. Watumwa wakienda hawarudi maisha yao yote, ukipita tu hapo hata kama kwa...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Sheikh Mohamed Said akitoa muhadhara kwa vijana wa kiislamu kufahanu historia ya taasisi za kiislamu Tanzania na michango ya taasisi hizi : https://m.youtube.com/watch?v=IvodWTgWpSM East African...
1 Reactions
7 Replies
701 Views
NYERERE DAY: NYERERE NA WANAWAKE - MAMA MUNI: BI ZAINAB SYKES Mama Muni, Bi Zainab Sykes ni mmoja wa akina mama waliomfahamu Julius Nyerere siku za mwanzo alipofika Dar es Salaam 1952. Mama...
0 Reactions
1 Replies
493 Views
ZIJUE BAADHI YA KOO ZA KIZARAMO, ASILI NA MAANA YAKE. Wazaramo/ wazaramu ni kabila linalopatikana mkowa wa Pwani, Daresalama na maeneo ya mkowa wa morogoro ( morogoro vijijini, hasa mvua na...
6 Reactions
35 Replies
20K Views
Ee bwana wanyamwezi walikuwa na huyu mzee ambaye kwa sasa ni MarehemU, alikuwa jembe na nusu. Huyu mzee alikuwa awe chief baada ya baba yake Andrea Sazia, lakini uhuru ndipo ulipatikana na hivyo...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
https://youtu.be/wjvIkkbJBR8?si=EDswkPWPt8TR6S1P
0 Reactions
0 Replies
269 Views
Maelezo ya picha,Mfalme Philippe ameonyesha kusikitishwa na unyanyasaji wakati a ukoloni katika barua aliyomuandikia rais Félix Tshisekedi wa DR Congo Mfalme wa Ubelgiji Philippe ameonesha...
3 Reactions
2 Replies
415 Views
Huyu mwamba alikuwa ni marine general,moja ya sifa zake ni kuwa mtu tafu na imara sana na kutokana na tabia zake walikuwa wanamuita shetani mzee butley Lakini hakujali na wala hakuw na tabia ya...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
https://youtu.be/J8X9FbMZMNI?si=4DR2OCqAO2aLQFAd
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Sewa Haji Paroo alijenga jengo la kutoa huduma za afya kwa watu mbalimbali. Picha na Charles Kayoka. =================== Sewa Haji, soma historia ya mtu alietukuka. Ndie alietajwa katika moja...
21 Reactions
202 Replies
65K Views
Mwanamapinduzi wa Argentina na shujaa wa mapinduzi ya Cuba, Ernesto che Guevara, alitumia miezi minne nchini Tanzania kati ya mwaka 1965 na 1966. Aliingia kwenye ardhi ya Tanzania karibu mara...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Historia ya mmoja wa wezi waliotikisa ulimwengu ni ile ya Pablo Escobar, ambaye alikuwa muuzaji mkubwa wa dawa za kulevya na kiongozi wa genge la Medellín Cartel huko Colombia. Escobar aliathiri...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
The Kennedy Curse: Huu ni msemo unaorejelea Vifo tata vya wanafamilia wa Kennedy. Wanafamilia wengi wa Ukoo wa Kennedy wamekufa vifo vyenye utata mkubwa na vya kuhuzunisha. Inaonekana kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Ingawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii...
1 Reactions
53 Replies
13K Views
HISTORIA YA JULIUS NYERERE (1922 - 1999) Kuadhimisha Nyerere Day In Shaa Allah kuanzia tarehe 1 Oktoba nitakuwa naweka video ambazo nimemzungumza Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
0 Reactions
1 Replies
437 Views
Hii ni vita iliyojulikana kama July War au 2006 Lebanon war unakuwa hujakosea kabisa, vita hii ilichukua takribani siku 34 tu, ni muda mchache tu, lakini kuna mengi ya kufahamu juu ya hii vita...
46 Reactions
344 Replies
43K Views
  • Redirect
5 Reactions
Replies
Views
SHAJARA YA MWANAMZIZIMA: Mjue Diwani (Chifu) Mwinchuguuni aliyewatimua Wakamba Bagamoyo Na Alhaji Abdallah Tambaza MNAMO karne ya 1600 ama 1700 hivi, kabla nchi hii haijawa Tanganyika tuijuayo...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom